Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wapi hapo?
 
Daah, nimepanda basi la vimbwengo(NBS), sijaridhika na mwendo, hapa kufika ni saa tisa kabisa.

Shukrani mkuu
Mwendo sikuukubali ila nimefikishwa mapema tangu nianze kusafiri kuja Dom kutoka Dar. Saa saba na robo inapumua nanenane stand.

Kumbe siku hizi gari zinafika saa 6 Dom, maana gari zingine(za Mwanza) zilituacha mbali huko nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…