Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Poa tu sema wametukalisha sana, maswali mawili nlikuwa nayajua kabisa, moja nmekumbuka points tatu walikuwa wanataka tano, moja silijui kabisa[emoji23][emoji1787]
😂😂😂😂Hayo maswali ya point tano siyapendagi kichizi yani unakuta point unazijua mbili au tatu asa zingine ndo chenga kabisa
 
Swali la tano tangu nianze kusoma first year hadi namaliza law school sijawah ata lisikia, cha ajabu nmejibu Mungu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Wewe upo kama mimi naonaga Bora hata niwadanganye tu kuliko niseme sijui au siwezi
 
Chief ni chimbo Gani Hilo. Tupeane connection mkuu. Je room zikoje self au kawaida!?
 
Hapo unatakiwa upate 50 tu ujngie kwenye mrija wa asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…