Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jiandae na oral mkuu hii tumewakanda naamini
 
Utaenda oral,majibu wanatoa lini?
 
Amiin amiin ila wanachelewa sana, yaani ya MUHAS tumefanya mwezi huu lakin placement tayari. MUCE na IAE tangu September lakin hadi leo holaa
Labda za MUCE zilisimamiwa na utumishi full ndo maana zimechelewa lakini naamini week hii mikeka itakuwa wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…