Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Mkuu, ni wapi huko? Hebu tutajie location.
 
Itakuwa alipata kazi

Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.

Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?

Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😂😂😂😂😂Nakazia hapo paragraph ya mwisho
 
Daaaadek🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…