Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Hongera mwamba ukawe mtu maridadi na mwenye weledi uko halmashauri.
 
DUCE wana shida gani?
Saili za mwezi Julai zinatoka placement ila wao tangia January kimya
Daaaah aysee hawa jamaa since january kimyaaaa . Inasikitisha sana sijui kwa nini wametulia.

Hii nchi ngumu sana kuna muda nakata moto nikija humu nakutana na faraja za wadau + shuhuda kamoyo kanatulia lkn hali ni ngumu sana. mtu unahangaika na web ya ajira portal hadi kizunguzungu. Dah.

IT fanya utoe matokeo ya january wewe ni mtu wetu.

💥💥💥💥💥💥💥. IT rudisha four four two ( 4 4 2) ya agosti. Usikae na mpira hamishaaa.
 
Hii moment bado naikumbuka as if ni Jana tu.... February 20,2023. PDF bado nimeitunza mpaka Leo.

Placement zilitoka usiku...nilikuwa nafanya kufungua na kufunga just to check my name. Ni miezi almost nane Sasa, mapambano yanaendelea.

Mungu azidi kuwapa nafasi wale wote mnaozipambania.
 
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Vipi mfwende ni mwalimu
 
Hahahahaaa.

Daahh, kumbe sikuwahi kukupa pongezi aisee kwenye ile moment.

Comment yako hii imenifanya nirudi kufukua nione mrejesho wako, na kweli nimeuona[emoji116]
Hongera sana Learned Brother, hii pongezi yangu bado haijachacha ingawa naitoa baada ya miezi takribani nane kupita
 
Achana na Limbukeni huyo.
 
Thanks mkuu...bado nguvu ya pongezi Iko pale pale.
 
Hongera sana mkuu CDO Lupelengetya(nimekuzoom [emoji3]), kila la kheri ukawe mtumishi mwema.
 
Nenda tafuta kamusi ya Kiswahili tafuta maana ya Limbukeni kisha rudi tafuta comments zako humu.

Mdau amenishauri nisiwe harsh kwa watu kama wewe ila sasa unanishawishi niongee kama mlokole asivyoweza kuvumilia kutokulikemea pepo.
  • niende nitafute kamusi kwa ajili yako au
  • wewe ni mshamba na Limbukeni,
-hata ukiwa harsh, ukiwa mpole juu yako, vyovyote utakavyokuja mimi nakulipua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…