Mgogo Vitani
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 492
- 867
Namshukuru Mungu na mimi leo mishale ya sa moja kasoro nimeruka na kitu cha Halmashauri....
Mungu ni mwema... Nazidi kuwaombea wapambanaji Mungu akawafungulie njia....
kama una Selected both oral and App wewe subiri wakati tu...hii dhana ni ya ukweli
Hongera mwamba ukawe mtu maridadi na mwenye weledi uko halmashauri.