Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Hongera mwambaNdio nilikua nimeshasahau mkuu Ata tangazo sikuliona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mwambaNdio nilikua nimeshasahau mkuu Ata tangazo sikuliona
Shukran SanaHongera mwamba
Hongera sana kakaWakuu natoa shukran za dhati baada ya mwaka atimae nimefanikiwa kupitia kanzi data
Wakuu natoa shukran za dhati baada ya mwaka atimae nimefanikiwa kupitia kanzi data
Na kweli waliandamana mpaka usiku wa mananewatu wa DUCE mmelalamika sana hatimae mmeitwa kazini. hongerun kwa uvumilivu
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwemaMungu ni mwema kwa kila jambo baada ya safari ya interview zaidi ya 8 hatimaye leo nimedondokea kitu cha halmashauri.
Hongera sana. Kila la kheri kwenye utumishi wako.Mungu ni mwema kwa kila jambo baada ya safari ya interview zaidi ya 8 hatimaye leo nimedondokea kitu cha halmashauri.
Hongera kaka,mie bado nimechek pdf tena hola kakaMungu ni mwema kwa kila jambo baada ya safari ya interview zaidi ya 8 hatimaye leo nimedondokea kitu cha halmashauri.
Haupo peke yako mkuu tuendlee na subiraa tuu nduguUnaangalia pdf ukiwa na imani kuwa utakuta jina lako af mwisho hulioni,kila pdf unaambulia patupu...jaman hii kitu inauma asikwambie mtu aisee,...
But Mungu ni mwema n wakat sahihi ni wakati wa Mwenyez Mungu..nitatoa ushuhuda wa kulamba asali nami hapa inshalla....
Hongera kwa wote mliolamba asali pdf la leo
Hongera sana kwakeHongereni wote nimemuona na classmate wangu wa 2012 safi sana kazi ichapwe
Hongera sana mkuu, hakika Mungu ni mwema, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuMungu ni mwema kwa kila jambo baada ya safari ya interview zaidi ya 8 hatimaye leo nimedondokea kitu cha halmashauri.
Usikate tamaa mkuu siku yako Ipo njian, Mungu atatenda mkuuHongera kaka,mie bado nimechek pdf tena hola kaka
Tupo wengi, tuendelee kuwa na Imani. Mungu atatutendea na sisi.Unaangalia pdf ukiwa na imani kuwa utakuta jina lako af mwisho hulioni,kila pdf unaambulia patupu...jaman hii kitu inauma asikwambie mtu aisee,...
But Mungu ni mwema n wakat sahihi ni wakati wa Mwenyez Mungu..nitatoa ushuhuda wa kulamba asali nami hapa inshalla....
Hongera kwa wote mliolamba asali pdf la leo