Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu huu Uzi unnikataa kiaina sijui shida nn Niki scroll kusoma comment za juu inanigomea shida itakua nn?
Huenda kulikuwa na tatizo la kiu fundi, mimi mwenyewe kuanzia jana jioni hadi leo asubuhi nilikuwa nashindwa kufanya hivyo
 
Mliolamba asali mtufikishie salamu zetu masjala ya wazi hapo, tunahamu sana ya kuiona naamin na Sisi Ipo siku tutaenda Dodoma masjala ya wazi kuchukua barua. HONGERENI SANA MLIOLAMBA ASALI, shuhuda ni muhimu sana umu ninafurahi sana ninapoona shuhuda kwa Wana, Mkachape kazi wakuu
 
Usikate tamaa [emoji1666]mapambano yaendeleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…