Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na
Napokea mkuu🙏🙏🙏
 
Mkuu Bora ata ulipata kazi ili ukawe shuuda Kwa wengine kuwa Utumishi watu wanapata kazi kihalali

ila uzuri wako pamoja na mawazo hayo ya ajabu ajabu plus kukatisha watu Tamaa kuwa Utumishi hawako Fair hukuacha kuomba kila nafasi iliyotangazwa
 
Daaah hatimae pdf ya Leo nami nmesomeka, nkawa najisemea km nafasi za cdo zimeisha basi imekula kwangu ila MUNGU ni mwema sana.

Hongera sana mkuu,

Nakutakia kila la kheri katika majukumu yako mapya uliyoaminiwa na Serikali. Katimize majukumu yako kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma.

Furahia mafanikio haya pamoja na jamaa zako kwani haikuwa rahisi kupata hiyo nafasi.

Pia, kumbuka kutoa Shukrani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji kutoka katika jamii yako inayokuzunguka kama vile watoto yatima na walemavu.
 
Kama fani yako ni moja kati ya hizi basi tulia kwanza halmashauri hutakufa njaa.
Ununuzi/ugavi
Afisa hesabu/Muhasibu
Afisa ardhi
Mhandisi.
Ila kama CDO na nyinginezo jipange sana
Vipi kuhusu Afisa Biashara??
 
Mwenye ako na namba ya huduma Kwa wateja PSRS Niko namsadia mtu kufungua account ajira portal...inayopatikana na wanapokea chapu naomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…