Marcellojr
JF-Expert Member
- Jun 29, 2021
- 298
- 773
Na
Napokea mkuu🙏🙏🙏Ndugu yangu hongera sana. Yani unafika mpaka oral! Wewe siku yako ya kutoka kimasomaso iko karibu kupita maelezo.
Wengine tunaowapambania wachomoke hawajawahi kufika oral na hata matangazo ya nafasi zao za kazi ni adimu kuyaona miaka nenda rudi.
Hongera tena!