Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Fatilia Status hizi uwaga zinatoa taarifa sema si ndy tunakazaga Akili tu. Ukiwaza Miujiza kutendeka
 
Leo wamekiri application inafanya kazi chini yao...
Maana wahudumu tukiuliza status kwenye app yao zinamaanisha nn wanatujibu wanavyotaka....
Tuzidi kuomba Mungu ipo siku wote tutatoboa wakati wa Mungu juu yako ukifika hakuna wa kuzuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…