Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
[emoji23][emoji23]we Acha tu tulioexperience izi ishu tunaelewa vzurUkiingia kwenye huu Uzi unakutana na shuhuda
[emoji3][emoji3][emoji3] Ukikumbka ulikandwa moto unakata..
Huna received,huna selected for oral..
Huu Uzi huwez kuusogelea kbsa
daah imenibidi nichekeeunanikumbusha interview moja hiv nilienda dodoma nikawatangazia wazazi pamoja na majirani nikakandwa kwenye Written tu hata prac sijafikq nikazima simu. 😂 😂 😂
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16] kukandwa plus mawazo ya nauli ukute ulikopa dadeq lzma uzme simuunanikumbusha interview moja hiv nilienda dodoma nikawatangazia wazazi pamoja na majirani nikakandwa kwenye Written tu hata prac sijafikq nikazima simu. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hv call for interviews apa si mpk mwaka upinduke tena?yaani ukishawaambia watu tu nikosa kubwa ilo.mie nilifanya hivyo alafu nikakandwa kila siku watu walikua wananiuliza nawaambia matokeo bado mpaka walichoka wakajiongeza wenyewe [emoji1787] [emoji1787]
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]we Acha 2 yanauma vbaya..kla saa unaangalia lile neno not selected for oral interview [emoji58], huamin kbsa
[emoji23][emoji23]yniiiii kukaa sawa n baada ya weeks[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16] kukandwa plus mawazo ya nauli ukute ulikopa dadeq lzma uzme simu
Mkuu usinambie database ya mwaka huu ni lazma iishe this year?Punguza pressure Andaa ,nguo na nauli za kufata barua dodoma... Kupata Kazi utumishi ni kama kifo tu kila mtu aliyepo database atafikiwa ni suala la muda.... Na washasema Hawataki uchafu wa database wafike nao 2024 yani kuna fagia fagia hukoo... watu wanaambiwa kabisa maofisini kama unahisi una miaka 57 staff kwa hiyari ule mzigo kuna damu changa zipo motoo tunataka tuwaweke humu.
amna wanaweza wakaita mda wowote tu kabla ya wiki ya xmass..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hv call for interviews apa si mpk mwaka upinduke tena?
Mkuu usinambie database ya mwaka huu ni lazma iishe this year?
Urasimu,ukiritimba,ubinafsi ,connection oriented mind,wingi wa waombaji wa nafasi husika,vimemo vya kuomba kutoa koneksheni kwa vijana wa wenye kamba ndefu upungufu wa miundo ya mawasiliano na kadhalika kadhalika🫢.Ila ni mawazo tu kwa maana ya kujenga na sii kumkatisha yeyote tamaa,ama vinginevyo.Wanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Nikisoma hizi sms znanipa nguvu ya kuendelea kuamin kuwa ipo siku...nitafungua PDF nikutane na jina languWatu wa Umeme.
Watu wa CDO.
Watu wa makatibu afya.
Yani inshort unajijua ulikuwa database hili Pdf ambalo Analo IT ,linaitwa zoa zoa ..atawafurahisha
.... Make sure una nauli yako before Chrismass unaweza lia ukiwa kwenye Bus kwenda Dodoma....
hao tanesco wanaajiri wenyewe alafu wanachuaga watu kutoka chuo chao mara nyingi..Sasa nyie sio ndio PDF Lenu , si ndio linatoka week hii mnaenda bwawa la umeme huko nyerere ...maana ndio wanataka kuwasha mitambo sasa
Kumbeee,bas nilidhan mpk mwaka upinduke maana nilihis watakua na kalikizo ka Xmas n new yearamna wanaweza wakaita mda wowote tu kabla ya wiki ya xmass..
Nakubali[emoji120]Mimi nakwambia Andaa Nauli, na kama unabisha wait IT adondoshe Pdf uone shuhuda... Na halmshauri zimejaa yani ni mwendo wa Mitaasisi mi TBS huko, miofisi mikubwa mikubwa ofisi ya waziri mkuu, ofisi ya makamu wa raisi... Hazina hazina , Tume ya uchaguzi yaniiii Waits for Asali
amna wanaweza wakatoa mda wowote.kama unayo received uwe unachungulia..Kumbeee,bas nilidhan mpk mwaka upinduke maana nilihis watakua na kalikizo ka Xmas n new year
Sawa m2mishiamna wanaweza wakatoa mda wowote.kama unayo received uwe unachungulia..
🤣 🤣 mie sio mtumish banaSawa m2mishi