Nasubiria kwa hamu hizo pdf mkuuAsante Boss...kama upo database balance bundle kuanzia tarehe 11... Yani kila ukiingia Kituuuu , Kuna keka la majina 200... yani Pdf ina MB kama 5 hivi... Yani ukili download lile unaenda tafuta sehemu nzuriiiii unanua na pepsi baridi... Unakaa sasa unatulia unatafuta jina lako
Tumeshatoka mkuu [emoji1666][emoji1666]Leo 9 decemba . Kuna wapambanaji wezetu watakuwa wanatafuta bahat yao pale udom , dodoma paper za utumishi kada tofauti.
Tunaomba mrejesho jamani mkitoka uko
Hongeren sana...imebak kusbr pdf tuTumeshatoka mkuu [emoji1666][emoji1666]
Hizo PDF zije zije shuhuda ziwe nyingiiii.Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
Daah,Mungu atusaidieYes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
kuambiwa unachagua kazi dah umenikumbusha mbali..🤣 🤣Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
😂😂😂😂kuambiwa unachagua kazi dah umenikumbusha mbali..🤣 🤣
watu wanajua kukalia kooni acha tu mzee,yaan hayo maneno nimekumbuka mbali sana😂😂😂😂
[emoji23][emoji23]ulikuwaje mkuu? Hivi wakati mwingine mtu unatoka unajua kabisaa hapa nimekandwa eeh. Maana Kuna mwanangu mmoja katoka tu kasafiri zake kwenda Mwanza [emoji23][emoji23]mkando wa leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mpaka mseme
Ameen, let it be kwa hisani ya the most high the Almighty God. All the best to all of us in waiting vain, this month Yes💪🔥🔥🔥Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
mie kuna interview walichelewesha matokeo ya oral nikaashum nimekandwa nikapanda zangu basi nikaondoka, basi limefika morogoro naangalia simu naona nimechaguliwa oral ikabidi nigeuze.oral nilijibu upuuzi walinikanda nikajuta bora ningeendelea na safari tu..[emoji23][emoji23]ulikuwaje mkuu? Hivi wakati mwingine mtu unatoka unajua kabisaa hapa nimekandwa eeh. Maana Kuna mwanangu mmoja katoka tu kasafiri zake kwenda Mwanza [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifanya amesoma Sanawatu wanajua kukalia kooni acha tu mzee,yaan hayo maneno nimekumbuka mbali sana
Hata database hawakukuweka😂😂😂mie kuna interview walichelewesha matokeo ya oral nikaashum nimekandwa nikapanda zangu basi nikaondoka, basi limefika morogoro naangalia simu naona nimechaguliwa oral ikabidi nigeuze.oral nilijibu upuuzi walinikanda nikajuta bora ningeendelea na safari tu..
Anajifanya amesoma Sana
Kila kazi hataki
kwa yale majibu sidhani aisee.alafu ilikua kitambo itakua nilifeliHata database hawakukuweka😂😂😂
paper sio poa😂 watu wamaelaani sana na nauli yenyewe ilivyo panda ni hasara tu[emoji23][emoji23]ulikuwaje mkuu? Hivi wakati mwingine mtu unatoka unajua kabisaa hapa nimekandwa eeh. Maana Kuna mwanangu mmoja katoka tu kasafiri zake kwenda Mwanza [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣...Haka kamsemo nakachukia kutoka Rohoni yaan dah....wacha tupate Tu kazi mkuu.kuambiwa unachagua kazi dah umenikumbusha mbali..🤣 🤣