Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Asante Boss...kama upo database balance bundle kuanzia tarehe 11... Yani kila ukiingia Kituuuu , Kuna keka la majina 200... yani Pdf ina MB kama 5 hivi... Yani ukili download lile unaenda tafuta sehemu nzuriiiii unanua na pepsi baridi... Unakaa sasa unatulia unatafuta jina lako
Nasubiria kwa hamu hizo pdf mkuu
 
Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
 
Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
Hizo PDF zije zije shuhuda ziwe nyingiiii.
 
Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
Daah,Mungu atusaidie
 
Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
kuambiwa unachagua kazi dah umenikumbusha mbali..🤣 🤣
 
Yes Ndio, J.pili Unalala Kama Jobless J.3 Unaamka Mtumishi wa Uma Ndio Ni Officer wa Serikali And the rest will remains History, Zile dharau, Nyodo, Manyanyaso ,kuonekana Hohe hahe.., Hauna future, Upo upo tu, Kudharauliwa kuambiwa unnachagua kazi, Kutumwa tumwa ovyo, kufananishwa na watoto wa jirani waliofanikiwa OYAAAAAAAA.....Lets wait & save the Date 11/Dec......23/Dec.... Ni Jina Lako, Ni wakati wako wa kushine , Wakati wa kuinuliwa ,wakati wa kurudisha heshima yako iliyopotea, wakati wa kupigiwa simu mara kwa mara na kuombwa ushauri na msaada , wakati waliojitenga kuanza kusema yaliyopita sio ndwele💪....Jipige pige kifuani Sema Mungu, Huuu ni wakati wangu.......💪💪💪
Ameen, let it be kwa hisani ya the most high the Almighty God. All the best to all of us in waiting vain, this month Yes💪🔥🔥🔥
 
[emoji23][emoji23]ulikuwaje mkuu? Hivi wakati mwingine mtu unatoka unajua kabisaa hapa nimekandwa eeh. Maana Kuna mwanangu mmoja katoka tu kasafiri zake kwenda Mwanza [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
mie kuna interview walichelewesha matokeo ya oral nikaashum nimekandwa nikapanda zangu basi nikaondoka, basi limefika morogoro naangalia simu naona nimechaguliwa oral ikabidi nigeuze.oral nilijibu upuuzi walinikanda nikajuta bora ningeendelea na safari tu..
 
mie kuna interview walichelewesha matokeo ya oral nikaashum nimekandwa nikapanda zangu basi nikaondoka, basi limefika morogoro naangalia simu naona nimechaguliwa oral ikabidi nigeuze.oral nilijibu upuuzi walinikanda nikajuta bora ningeendelea na safari tu..
Hata database hawakukuweka😂😂😂
 
Back
Top Bottom