Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

hayo mautumishi ni machoko aisee...
 
daaah kwenye written nilikuwa wa mwisho kuitwa kama selected. kati ya watu 8....nikaingia kwenye oral na saiv nmeandikiwa selected for oral kwenye both app na website sijui ntatoboa ??...maana nawaza kama wakijumlisha na za written ntachinjiwa baharini
 
Usiwaze mkuu hawajumlishi chochote, kama Umefanya vizuri Oral subiria asali tu
 
Hakuna shuhuda humu Email za TRA walizokuwa wanapost wasailiwa kuhusu kuaza training Ni kwel Ijumaa waliaza.......
Tuache kurefresh email kila mara
 
Reactions: jb_
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…