Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wadau, hii wiki mbona inaisha kimyakimya bila hata kamkeka ka Usaili kipya.. Inamaana Received zote za Mda & lga hizi watazimaliza mwaka huu aua mpaka mwakani..?
 
Mkuu ninabeba maji mtaani hapa ndoo jero napata zangu kama aftatu siku za mwanzo nilikua napata Hadi elfu Tano day now vijana tumekua wengi Kila mtu anabebea mtu maji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Safi sana vijana wanachangamkia fursa
 
Yatatoka kesho jioni mzee utumishi huwa hawajali wewe usipoenda ndo imekula kwako Yani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nawao wanaamini wewe upo dodoma hiyo mbeya hawaelewi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Naendelea kusema kuwa "PSRS hawana undugu na Jobless"
 
Hv wadau hawa PSRS mbona sionagi matangazo yao ya kazi ,wafanya kazi wao wanawapatia wapi au ndo Database inahusika kunyakua watumishi wake huko.
Labda wanapatikana kupitia MDAs maana hapa wanapatikana watumishi tofauti kwenye idara tofauti tofauti serikalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ