Tuungane Kaka kuipambania hii asaliAmen
nina experience ya system administrator na security kama umeomba security hizi za mda and lga tutafutaneNiko bomba kwenye System Administration both (windows GUI na Linux) na networking hapo labda niongezee moja Ila kwa hizo mbili naweza kukomaa na nikatoboa sio kwenye programming aisee coding nimeacha toka FYP itanipa kazi saivi kuanza kusoma languages [emoji851]
Mbona ata saiv zipo nyingi tuu...watembelee web ya ajira portal waongeze received..ci ndo ma Afisa Tehama?.kuna kipindi kazi za ICT zilikua zinatangazwa utumish daily naona upepo unahamahama
Wataalam wa ICT wa Tanzania wengi hawana uwezo, kazi nyingi zinafanywa na makampuni ya kutoka Korea kusinikuna kipindi kazi za ICT zilikua zinatangazwa utumish daily naona upepo unahamahama
ndio haoahao mie naona post zao zinatoka kawaida tu kuna kada nyingine bwana..Mbona ata saiv zipo nyingi tuu...watembelee web ya ajira portal waongeze received..ci ndo ma Afisa Tehama?.
ngoja ma IT wakusikie..Wataalam wa ICT wa Tanzania wengi hawana uwezo, kazi nyingi zinafanywa na makampuni ya kutoka Korea kusini
Wataalam wa ICT wa Tanzania wengi hawana uwezo, kazi nyingi zinafanywa na makampuni ya kutoka Korea kusini
miaka ya zamani kweli ila sasa hivi waTZ wenyewe wanafannya kazi za IT fresh tu hata systems kubwa kubwa wanatengeneza wazawa nenda eGa kaangalie kama kuna mkorea au mchina TRA wanaajiri madeveloper kwa ajili ya nini kama kuna wakorea sasa.Miaka ya 2002 ningesema yes, ila kipindi hili hali ni ya tofauti mno we have pontential individuals kwenye mashirika haya, real ict changes zili happen 2019, since then mambo yamebadilika. Si kote but bado lakin watafika
hapo halmashauri kwenu kuna wakorea wangapiWataalam wa ICT wa Tanzania wengi hawana uwezo, kazi nyingi zinafanywa na makampuni ya kutoka Korea kusini
Huko Manunuzi ela ipo??Kama tayari upo kazini soma kozi hizi utanishukuru baadae
1. Account
2. Procurement
3. Public health
4. Wathamini- kozi yao sijui inaitwaje
Hizo tatu za kwanza hata ukibaki halmashauri hufi njaa.
Mifumo mingi ya serikali imejengwa na wageni i.e wakore nk, mifumo ya tanesco, TRA, kwenye mabenkihapo halmashauri kwenu kuna wakorea wangapi
zamani ila sio kwa sasaMifumo mingi ya serikali imejengwa na wageni i.e wakore nk, mifumo ya tanesco, TRA, kwenye mabenki
Una akili za makalio.
Unatuharibia Uzi tunakuangalia..
Sikia sisi jobless tunahitaji uwe mfano mzuri kama Mwifwa .
Sasa wewe umepata kazi lakini upo kibanda umiza ukibishana na sisi jobless hatujui tunaingia lini kwa system.
JIONGEZE FICHA UPUMBAVU WAKO.