El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
apply utaitwa tuNaomba msaada inakuaje mtu ambaye amesoma diploma in secondary education akitaka kuomba nafasi za kazi ambazo zinahitaji diploma in education mfumo unamgomea ila ikabdilisha na kidogo jina la kozi na kujaza diploma in education with arts mfumo huo huo unakubali je akifanya hivyo ataitwa kwenye interview?
Shukraniapply utaitwa tu
Mkuu unataka kusema nn[emoji3]Mwanzo naanza kufuatilia huu Uzi.
Nikiwa sina receive hata moja wala oral.
Ulikuwa mzuri na wenye kujenga na hoja zilikuwa za maana.
Ila hapa katikati sijui mdudu gani kapita..
Wapumbavu wamekuwa wengi.
Hakuna hoja tena ,wapiga ramli wa UONGO NI WENGI SANA AISEE
Anataka kusema acheni ramli chonganishi😂Mkuu unataka kusema nn[emoji3]
😂😂😂 Atulie Tu tuendelee kusikilizia, ngoja tuibadilishe jina badala ya ramli tuite utabiri wa Hali ya pdf 😂😂😂Anataka kusema acheni ramli chonganishi😂
Nasikia IT kapoteza flash.........Kufurushwa kwenda wap mkuu[emoji3][emoji3]
Kuanzia kesho Kuna PDF za placement za kutosha.
Watu mjiandae kwenda masijala ya wazi ndani ya siku saba.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wiki hii shuhuda za kutosha humuAnataka kusema acheni ramli chonganishi[emoji23]
Hawezi poteza flash...sisi kama jobless tutamfukuza kazNasikia IT kapoteza flash.........
UtotoUtabiri wa Hali ya pdf la placement
Jumanne 99.9%
Jumatano 99.9%
Alhamis 99.9%
Ijumaa 100%
Hii week imekaa kiushindi ushindi Sana nahakika wengi tutatoa shuhuda ndani ya hii week
Mbona ukijumlisha inazidi 100%? Kwanini?Utabiri wa Hali ya pdf la placement
Jumanne 99.9%
Jumatano 99.9%
Alhamis 99.9%
Ijumaa 100%
Hii week imekaa kiushindi ushindi Sana nahakika wengi tutatoa shuhuda ndani ya hii week
Tupo kaka Bado tunatembelea Uzi huu piaThrough back! Hii ndio ilikuwa comment yangu bora kabisa kwa mwaka huu hapa JF na pia ndio comment maridadi kabisa tangu nijiunge na JF miaka 7 iliyopita.
Ukiniambia kwa mwaka huu umepiga hatua gani katika ndoto zako, basi sina budi kukuonesha hii comment!
Tunapoelekea kuumaliza huu mwaka hatuna budi kumshukuru anayetupatia Pumzi ya bure na kutujalia riziki ya kila siku kwa njia mbalimbali. Endapo hii pumzi ingekuwa tunailipia Bill kama ilivyo bill za umeme, maji, vifurushi vya internet, wachache sana wangemudu hii huduma, ni raha iliyoje kupewa pumzivya bure then ukaanza kuhangaikia mengine.
Uzi huu sprit yake ni KUTOKATA TAMAA, USIACHE KUJARIBU KILA UNAPOPATA NAFASI. tuishi humu.
Wale wote ambao bado wanasubiri placement, kuitwa kwenye interview msiache hii sprit ishini nayo.
Nafasi yoyote ikitokea halafu ukawa na vigezo usiache kuongeza received hata kama unasubiri placement, hivyo hivyo ukiitwa kwenye Interview nenda kafanye hata kama unasubiri placement. Siku ukiona jina lako kwenye placement basi utakuwa na uhalali wa kuacha kufanya usaili(Si huwa unawaona wazee wa mjengoni wakishashinda uchaguzi na kampeni wanaacha moja kwa moja, wengine wanaenda mbali kabisa kwa kutoonekana Jimboni hadi msimu mwingine tena[emoji2][emoji2]...!).
Kwa wale ambao wamefanikiwa kuchomoka tusiache kuwapa miongozi wanaoendelea kupambana(yaani mfundishe kuvua samaki, badala ya kumpa samaki), pia tupunguze kejeli kwa kuwaona si lolote wengine ambao hawajaweza kuchomoka kisa muda wao bado haujafika.
Ahmet meck pro mazaga one na wengineo mumepotea sana humu bila shaka mpo salama huko mlipo na mnaendelea kusukuma gurudumu vizuri
Imebidi nitumie kile kitufe cha ‘Ignore this user' Nimeona kinafanya kazi kwa huyo hapo juu.UNAJUA UNACHOKIFANYA HUMU.