Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sasa kwa kuyajua haya yote watu bado wanahangaika na interview za Serikali za nini?. Mimi huko Serikalini nimewahi hudhururia interview Moja tu, tena nilizuiliwa kuingia kisa Sina NIDA, nikiwa na namba tu wakagoma. Tangu siku hiyo sintokuja kuhudhuria interview za utumishi, nawala sijutii kutopata kazi Serikalini. Kwanza wanalipa mishahara midogo halafu masimango wakati wa interview kama yote. Wanaona wao ndio wameshikiria maisha ya watu.
 
Mkuu atafutae hachoki, akichoka ujue kapata
 
Mkuu atafutae hachoki, akichoka ujue kapata
Polen sana waku, lakini private sector nyingi wako fair kuliko Serikalini ndio maana taasisi nyingi za Serikali ni magumashi. Nimefanya interview nyingi sana na private sector wengi wao wako very positive hata kama hutopata kazi lkn utapata experience yakutosha. Mtu anaetafuta kazi Private sector probability yakupata kazi nzuri nikubwa kuliko huko Serikalini.
 
Hivi hao waliokua wako siriously salary inaanza na ngapi?.
Itakuwa wanalipwa parefu mwaka mmoja tu walikuwa wamenunua magari makali balaa. Na kuanzia mwaka huo huo wakaanza kupelekwa vyuo vya njee kuchukua masters kwa awamu wengi uingereza, India na japan .Yaani ilikuwa tu ufikishe hiyo GPA hakuna baba kanituma wala nn

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Hata hii interview tuliyofanya government ana hisa zake nasikia ewura alitaka yeye ndio awe anasimamia maswala ya kuajiri pamoja na tpdc Mzungu akakataa wenyewe wanatumia hizi agencies kutafuta watu. Hawaangalii sijui wewe ni mtoto wa nani au status ya mtu maana jamaa kuhusu maokoto kwao sio tatizo hawana njaa

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Kuna ile kuwa ushawahi kuwa na check namba halaf kazi ukaacha mwenyewe au hata wakakuachisha wenyewe sasa ukataka kurudi tena serikalini (Hata kama sababu za kuacha ni genuine)

Mziki wake unaweza tumia hata miaka 3 bado wapo wanashughulikia🥲🥲🥲🥲
Jambo unaloona lnaweza malizwa ndani ya mwezi lnavyozungushwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…