Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Si kuna ajira alizosem wazir Simbachawene zitamwagwa almost elfu 44 kunzia mwezi huu mpk wa 7..so tusubir mambo ayo tuone,maana baada ya mwaka 2025 naona ngma itakua ngumu,watu washaingia madarakani apo 2026[emoji50]‍[emoji100]
Ukisubirigi yanayosemwa utakesha saaaana!.
Kwa kuongea na kuaminisha watu viongozi wetu wapo vzr ila njoo kwenye uhalisia.

Mm I wish akisema ajira ni 44k na vibali vishatolewa sasa nione tangazo lenye kuhitaji hao watu hapo ingekuwa magoli saaana na nadhan hata huko kulalama kwa sana kwa sisi vjana kusingekuepo. Ila unastukia mwaaaaaaka huooooooo unakata huelewi elewi 44k inavyoishilia
 
Nawatakieni maandalizi mema ya mikando iliyopo mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…