Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jaribu kuanza taratibu za kuhama uende sehemu nyingine(halmashauri nyingine).

Huo mchakato sio rahisi ila ukikomaa unaweza kuhama.

Subiri uthibitishwe kwanza kazini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unyama mwingi sana hahhhh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] then unaenda kuipark pale inatazama ufukwe ili ipate mzunguko mwanana wa hewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…