Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Pole sanaHabari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Tokea mwaka Jana nimeomba ila hakunaPole sana
Pia omba na taesa huwa wanaunganisha internship
jpili kawaida..Leo pia shwaaaah 🥲
Yah uko sahihi Kati Kati au mwisho ya mwezi wiki ijayo nayo sio ya kutarajiahii naona itakua kama last time walivyotuweka wiki 3
wakizimaga vimulimuli gafla ujue hapo sio chini ya wiki 2.. 🤣 🤣Yah uko sahihi Kati Kati au mwisho ya mwezi wiki ijayo nayo sio ya kutarajia
😂😂yote sawa tuwakizimaga vimulimuli gafla ujue hapo sio chini ya wiki 2.. 🤣 🤣
Ngoja tuisubili na kesho labda🤔jpili kawaida..
naona pincoladee umeweka silaha chini unakusanya nguvu za kesho..😂😂yote sawa tu
usikute bado wapo kwenye semina zaoNgoja tuisubili na kesho labda🤔
Taarifa gani boss unadhani unastahili kupata ila unaikosa?Ila kwa serikali haipaswi kufanya vitu hivyo...raia tunatumia gharama kubwa kufanya hizi saili zao wanatakiwa wawe wawazi...
Kwenda dom, kula, kulala na kurudi dar tunatumia 100k+...
Haki yetu kupewa taarifa
Weka tangazo pale..mfanoTaarifa gani boss unadhani unastahili kupata ila unaikosa?
Duuh!! Sawa mkuuWeka tangazo pale..mfano
Next placement will be on xx
Mmh kwa govt pagumu ila inatakiwa iwe hivyo.Weka tangazo pale..mfano
Next placement will be on xx
Mkuu hiyo ni ngumu shida ipo kwa taasisi zinazohitaji watu PSRS wao niwatekerezaji tu ndio maana kuna kipindi wakipata hata watu watano basi hao hao wanaweka mkeka na ukitakujua taasisi changamoto kuna baadhi ya watu wamepata placement ila unaenda taasisi husika unakuta ni kama hawakujiandaa kupata mtu wa ajira mpyaWeka tangazo pale..mfano
Next placement will be on xx
Anyway sawa tuwavumilie tu...Mkuu hiyo ni ngumu shida ipo kwa taasisi zinazohitaji watu PSRS wao niwatekerezaji tu ndio maana kuna kipindi wakipata hata watu watano basi hao hao wanaweka mkeka na ukitakujua taasisi changamoto kuna baadhi ya watu wamepata placement ila unaenda taasisi husika unakuta ni kama hawakujiandaa kupata mtu wa ajira mpya