Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

HATIMAYE WEEKED IMEISHA.

Jobless tuna hali mbaya kama hawatabadililsha utaratibu tutarajie pdf wiki mbili mbele.

Kama itakuwa heri basi week itakuwa sana maana majamaa wamezoeleka miezi hii miwili.

NO PDF WEEKEND.

NO PDF FROM 1st up to 14th hii formula wameenda nayo miezi miwili sasa.
 
Kuna suala la kibajeti naona hapo kuwa na subra bajeti 2024/2025 ndio hiyo inaanza kesho
 
Sasa bajeti inahusiana vipi na ajira mzee
Habari, fanya miamala kwenda mitandao ya simu/benki nyingine kabla ya tar 1/7/2024 kwani huduma itasitishwa kwa tarehe hiyo kufunga mwaka wa fedha wa serikali.


Habari, kupisha kufungwa kwa mwaka wa serikali tar 1/7/2024 huduma za TISS na cheki hazitapatikana siku hiyo, unashauriwa kutumia huduma zetu mbadala siku hiyo.
 
Sawa basi na sisi tunaukaribisha mwaka mpya wa serikali..Happy New month,may this month be filled with more blessings ❤️
 
Maneno yakuumiza aya ujue😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…