Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongereni mliopata placements na ambao bado ombeni mpate sehemu nzuri kuna sehemu unaenda dah aisee majanga unakuta watu wa mikataba wananguvu kuliko hata wa. Kutumu na ndio machawa hasa wa mamboss full kukulengesha sehemu sio halafu wananenda kukulipua kwa wakubwa huko
Huko Uchawa mwingi bila hivyo hutoboi(Madiwani si Watu wanzuri wanaweza kukupoteza huku wanakusifia kwa Utendaji kazi vinzuri)....
Hii Tamisemi wangeimega tu...
 
ulifanikiwa kuapply kwa kubadilisha
Yes pale kwenye kuweka title ya course nimeweka diploma in fine arts ila kwenye kuweka cheti nimeweka cheti changu chenyewe cha diploma in Film production ikanikubalia, japokuwa hata hy film production ilikuwepo kwenye post.
 
Yes pale kwenye kuweka title ya course nimeweka diploma in fine arts ila kwenye kuweka cheti nimeweka cheti changu chenyewe cha diploma in Film production ikanikubalia, japokuwa hata hy film production ilikuwepo kwenye post.
basi we sikilizia tu
 
Hongereni mliopata placements na ambao bado ombeni mpate sehemu nzuri kuna sehemu unaenda dah aisee majanga unakuta watu wa mikataba wananguvu kuliko hata wa. Kutumu na ndio machawa hasa wa mamboss full kukulengesha sehemu sio halafu wananenda kukulipua kwa wakubwa huko
hcho kitu kibaya sana...unakuta intern ana 5 yrs , anakuona kama umemzibia rizik
 
mzee usiombe japo zinatofautian kidogo na maeneo ,kuna maeneo yana mapato kama halmashauri za geita,dar es salaam, kunasehemu zingine hazina mapato yaani fedha ya miradi ikija na mradi ukashindwa kukamilika basi huwa ni ngumu kupata fedha ya kukamilisha mradi kwa mapato ya ndani, ila kwa 90% halmashauri zote zinafanana.

huku kwanza kazi ni nyingi kila siku haziishi

malipo kidogo bado hujajiiingisza kwenye masuala ya mikopo

unamabosi wengi, hadi diwani wa kata unamuogopa

maisha yako wanayafatiliwa na kila mtu ikitokea umepata fedha ukafanya maendeleo kuwazidi wenzio unaweza tengenezewa zozo na mabosi plus pccb kuwa umeiba fedha, labda familia yako uipeleke mbali kabisa na sehemu ya kazi

ukinunua gari tu kali utahojiwa fedha umetoa wapi hata kama ni za jasho lako, hii kitu siioni kwa taasisi zingine kama TRA, mtaani ukiona nyumba kali ukaambiwa ni mali ya afisa wa TRA hakuna shida ila ukiambiwa ni ya mwalimu au mhandisi au mtendaji haloo! lazima wakufatilie kwa ukaribu.
Hahahaha brother hii ni kweli kabisa! Mimi Wazazi wangu Wote walikua watendaji wa halmashauri kabla ya kustaafu! Visa haviishi mara leo takukuru kesho mahakaman mara tume, halmashauri mnafatiliana sana yani vijicho haviishi
 
Back
Top Bottom