captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Mkuu hongera Sana na kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuHatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Hongera sana God is goodHatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Hongera sana mkuuHatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Hujui ulifanyalo na hujui faida ya msg zangu kusoma hujui hata picha huoni fuatilia msg zangu zote uone huwa zinaandikwa siku ambako pdf zinawekwa psrs muda mchache before kuwepo pdf either za placement or tanganzo la kaziKazi kulia lia tu mshukuru Mungu kwa kila jambo tulieni kila mtu atapata kazi
Hongera sana Mkuu, ukawe mtumishi mwema!Hatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
ndo inavyo takiwa pdf la leo limechukuwa watu wa nyuma vizuriDah inatia huruma watu kuwa na hofu namna ya kupata placement ila waliyo nazo (waajiri) hata hawaonii huruma vijana wasaka ajira, wawotoe watu waliyo fanya sahili(interiew) za nyuma kwanza, sawa huu mwenzi pdf zimekuwa nyingi ni jambo la kushukuru ila sasa majority ni waliyo fanya sahili mwaka huu 2024 ila mwaka jana 2023 imebaki kinzungu mkuti(njia panda) why haya mambo yanaenda hivyo, kuna watu wanalalamika sana kuwa wanakalibia mwaka kuisha na hajapangiwa hata member mmoja katika oral interview zao na walifanya kuanzia mwaka jana wezi wa saba na kuendelea, inaumiza sana kwanini serikali isitatue jambo kabla ya hatari na madhila kwa watu
Shukrani mkuu na account yangu nimeipata mkuu mpaka wamepokea simu na leo weekends shukran wana jamvi kunitia moyoHujui ulifanyalo na hujui faida ya msg zangu kusoma hujui hata picha huoni fuatilia msg zangu zote uone huwa zinaandikwa siku ambako pdf zinawekwa psrs muda mchache before kuwepo pdf either za placement or tanganzo la kazi
Watu wa inteview za 2023 naona leo wengi wamechukuliwa hongereni mliyo ufikia ufalume wa utumi wa uma ipende TZ yako tabua tayali wananchi wanakutazama sasa kama kiongozi fulani katika jamii ya tz katika majukumu yako ya kazi kwa kuleta faida kwa taifa ( leadership skill itumike vyema)!Pdf za sasa zitoe watu wa nyuma kwanza wasaka ajira wanakeleka kuona wa nyuma hawaitwi na wa kalibuni ndo wanang’ara kwa pdf za placement
Hongera mkuu kila la kheriHatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Wamenisaidia mkuu Mungu ni mwema🤘🤘Wapigie Simu ajira portal watakusaidia
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaHatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Mungu awe nawe akuongoze katika utendaji kazi wako kwa faida za wanchi, uaminifu, uadilifu, upendo, uchapa kazi, na uhodali, hivyo ndo adhina kubwa katika safari yako zidi ya nchi yako pendwa(key point uzalendo na Taifa lako), ukiwa mzalendo utapendwa na wanchi katika sector yako na Mungu pia.Hatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Tunaomba iwe hivyoDatabase linafukunyuliwa uko jobless wengi watalamba ajira sehemu nono kuna vibari vingi vya ajira
Hongera, shida watu wanafeli kwa financial management tu, katika business pia wanafeli katika suala la risk reward ratioWatu humu wanasema TRC njaa kali,mimi mbona naona pazuri au kwa vile nilikuwa kwenye njaa kali zaidi mtaani kwa miaka mingi? kiasi kinachoingia kwa account baada ya makato si chini ya 700k sasa njaa ipo wapi?