Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Dah inatia huruma watu kuwa na hofu namna ya kupata placement ila waliyo nazo (waajiri) hata hawaonii huruma vijana wasaka ajira, wawotoe watu waliyo fanya sahili(interiew) za nyuma kwanza, sawa huu mwenzi pdf zimekuwa nyingi ni jambo la kushukuru ila sasa majority ni waliyo fanya sahili mwaka huu 2024 ila mwaka jana 2023 imebaki kinzungu mkuti(njia panda) why haya mambo yanaenda hivyo, kuna watu wanalalamika sana kuwa wanakalibia mwaka kuisha na hajapangiwa hata member mmoja katika oral interview zao na walifanya kuanzia mwaka jana wezi wa saba na kuendelea, inaumiza sana kwanini serikali isitatue jambo kabla ya hatari na madhila kwa watu
ndo inavyo takiwa pdf la leo limechukuwa watu wa nyuma vizuri
 
Hujui ulifanyalo na hujui faida ya msg zangu kusoma hujui hata picha huoni fuatilia msg zangu zote uone huwa zinaandikwa siku ambako pdf zinawekwa psrs muda mchache before kuwepo pdf either za placement or tanganzo la kazi
Shukrani mkuu na account yangu nimeipata mkuu mpaka wamepokea simu na leo weekends shukran wana jamvi kunitia moyo
 
Pdf za sasa zitoe watu wa nyuma kwanza wasaka ajira wanakeleka kuona wa nyuma hawaitwi na wa kalibuni ndo wanang’ara kwa pdf za placement
Watu wa inteview za 2023 naona leo wengi wamechukuliwa hongereni mliyo ufikia ufalume wa utumi wa uma ipende TZ yako tabua tayali wananchi wanakutazama sasa kama kiongozi fulani katika jamii ya tz katika majukumu yako ya kazi kwa kuleta faida kwa taifa ( leadership skill itumike vyema)!
 
Hatimaye jina langu limeonekana leo, Glory to God! Kweli kila mtu wakati wake unakuja, tusikate tamaa wakuu (yusto_em)
Mungu awe nawe akuongoze katika utendaji kazi wako kwa faida za wanchi, uaminifu, uadilifu, upendo, uchapa kazi, na uhodali, hivyo ndo adhina kubwa katika safari yako zidi ya nchi yako pendwa(key point uzalendo na Taifa lako), ukiwa mzalendo utapendwa na wanchi katika sector yako na Mungu pia.
 
Watu humu wanasema TRC njaa kali,mimi mbona naona pazuri au kwa vile nilikuwa kwenye njaa kali zaidi mtaani kwa miaka mingi? kiasi kinachoingia kwa account baada ya makato si chini ya 700k sasa njaa ipo wapi?
Hongera, shida watu wanafeli kwa financial management tu, katika business pia wanafeli katika suala la risk reward ratio
 
Back
Top Bottom