Shukrani sana kwaushauri.... ni sahihi njia yako ni itanifaa zaidi....japo nikiwa karibu nasikia vizuri tu...ni kutojua umbali toka kwa wasahili hadi kwangu...Ukifika eleza tatizo lako hawatashindwa kukufanyia usahili.
Tatizo kama lako njia pekee ni wao kukuandikia maswali then ukisoma swali utawajibu kwa kuongea kwa sauti.
Umesoma kada gani mkuu?Ubarikiwe sana mkuu...ndio nimeainisha kwenye account yangu....
Ubarikiwe sana kwa taarifa hii naimani Mungu stafanya wepesi
Hongera Sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifuNamshukuru Mungu nimeona jina langu kwenye pdf ya leo baada ya kupiga oral mwezi May mwaka huu, database is real...TAMAA NI DHAMBI
Chapati 2 swali kada gani naona halipendi ,maana kuna mkuu hapo juu kampa ufafanuzi na yeye kaja kajibu ila hilo swali kali skip,so ukiona halijibu unaacha kumuulizaπUmesoma kada gani mkuu?
Elimu mkuu ....naomba Tutorial assistant, sema nakata tamaa kama naweza pita... Nimekaa muda mrefu nikiruka nafasi hizi japo confidence na material Mungu mwema najiweza.Umesoma kada gani mkuu?
Dah mkuu hata mimi naona wametutupa sana.. maana toka mwaka jana mwezi wa tano watoe nafasi 1 ile ya bunge hawajawahi toa tena nafasi mpaka leo..Naona Electrical degree Tushakuwa garbage ,Hadi bwawa la asali TAA nao wanatutema tu .
Wamesomba diploma tu hii pdf ya leo
Kada ni Elimu ..tutorial assistant ...Kwanza kwenye Profile yako umeonyesha ulemavu wako.
Panelist inakuwaga na watu wengi zaidi ya watano.
Kada gani kwani kiongozi maana wenye ulemavu wanapewaga kipaumbele
Nashukuru kwa ukumbusho mkuu...umenitag nimeona kumbe ni muhimu ili kupata taarifa zaidi.. sikutoa uzito...nashukuruChapati 2 swali kada gani naona halipendi ,maana kuna mkuu hapo juu kampa ufafanuzi na yeye kaja kajibu ila hilo swali kali skip,so ukiona halijibu unaacha kumuulizaπ
Ondoa shaka mkuu...we nenda kapige pepa ukifika oral na kufaulu utapatiwa nafasi...jiandae vyema tuKada ni Elimu ..tutorial assistant ...
Utapata tuu zamu yako itakuja kikubwa ufike oral na ufanye vzr na hali yako itaku feva utapochuana marks na mtu ambaye hana ulemavu wowote utapewa wewe kipaumbele ,jitahidi ufike oralElimu mkuu ....naomba Tutorial assistance, sema nakata tamaa kama naweza pita... Nimekaa muda mrefu nikiruka nafasi hizi japo confidence na material Mungu mwema najiweza.
Nashukuru sana... Ubarikiwe.Ondoa shaka mkuu...we nenda kapige pepa ukifika oral na kufaulu utapatiwa nafasi...jiandae vyema tu
AmenNashukuru sana... Ubarikiwe.
Asante sana mkuu...mwaka jana nilipita written vizuri tu ila oral sikwenda sababu ya changamoto yangu ya masikio... ubarikiwe.Utapata tuu zamu yako itakuja kikubwa ufike oral na ufanye vzr na hali yako itaku feva utapochuana marks na mtu ambaye hana ulemavu wowote utapewa wewe kipaumbele ,jitahidi ufike oral
Ulifanya kosa kubwa sana....Asante sana mkuu...mwaka jana nilipita written vizuri tu ila oral sikwenda sababu ya changamoto yangu ya masikio... ubarikiwe.
Tena wenye ulemavu wanavyopewa vipaumbeleUlifanya kosa kubwa sana....
Nenda katambikie mizimu ya kwenu, halafu uje unishukuru.Tangu mwezi wa nane ulipoanza.
Nimejikuta moyo wangu una amani sana nilichokisubiri kwa muda mrefu sijakipata.
Nadhani sasa ni muda wa kupambana na received yangu moja.
Hii database niiweke pembeni sitaki kunipa stress kila kuchungulia mkeka jina lako haulioni na mwaka ushaisha hivyo japo naona wanachukua zaidi ya mwaka na miezi mm naassume sina changu.
Nimeshaomba sana.
Nimefunga sana.
Nadhani nafasi yangu iko.
Nawaaga jamani.
Nitarudi baadae kidogo.
Haupaswi kukata tamaa, bali unapaswa kuendelea na subira uliyokuwa nayo.Tangu mwezi wa nane ulipoanza.
Nimejikuta moyo wangu una amani sana nilichokisubiri kwa muda mrefu sijakipata.
Nadhani sasa ni muda wa kupambana na received yangu moja.
Hii database niiweke pembeni sitaki kunipa stress kila kuchungulia mkeka jina lako haulioni na mwaka ushaisha hivyo japo naona wanachukua zaidi ya mwaka na miezi mm naassume sina changu.
Nimeshaomba sana.
Nimefunga sana.
Nadhani nafasi yangu iko.
Nawaaga jamani.
Nitarudi baadae kidogo.
Noma sana mkuu .Dah mkuu hata mimi naona wametutupa sana.. maana toka mwaka jana mwezi wa tano watoe nafasi 1 ile ya bunge hawajawahi toa tena nafasi mpaka leo..
Inasikitisha sana