Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Hivi wanavyotangaza ajira mpya na database haijaisha uwa wanamaanisha kwamba watu wote wamefeli oral au ni maamuzi yaosasa watu wamechanical bado wanaitwa interview si ukatili wa kisaikolojia huu.. [emoji1787] [emoji1787]
Kuna taasisi wanataka kushiriki kupata candidate wanayemtaka wao, hawapokei mtu kutoka kwenye database. Hivyo huwa wanataka watu wao washiriki mchakato wa kupata watumishi wanaowataka wao. Ukiona umepangiwa taasisi nzuri kutoka database ujue walikuwa na uharaka.Hivi wanavyotangaza ajira mpya na database haijaisha uwa wanamaanisha kwamba watu wote wamefeli oral au ni maamuzi yao
yaani hawa jamaa hawaeleweki wengine vyeti vya bodi mpaka vinaexpire tumerenew mpaka tumechoka.watu wamechanical wamewafanyisha usaili wamewaita watatu sjui kati ya 20 alafu wanawaita usaili tena.Hivi wanavyotangaza ajira mpya na database haijaisha uwa wanamaanisha kwamba watu wote wamefeli oral au ni maamuzi yao
dah kama ndo ivo tunasafari ndefuKuna taasisi wanataka kushiriki kupata candidate wanayemtaka wao, hawapokei mtu kutoka kwenye database. Hivyo huwa wanataka watu wao washiriki mchakato wa kupata watumishi wanaowataka wao. Ukiona umepangiwa taasisi nzuri kutoka database ujue walikuwa na uharaka.
Ndio maana wengi kwenye database wanapelekwa LGAs a.k.a halmashauri
😀😀 uliharakisha mwaisa walikua bado kuweka ila tayari kwa sasaLeka malafyale yaani nalitafuta tangazo la nactvet silioni
Acha tu...lkn mtafutaji hachoki, akichoka kapataUnajikuta mtu una received 14😀😀
Hii ipo sahihi, na kwa sasa ukikosa LGA unashukuruKuna taasisi wanataka kushiriki kupata candidate wanayemtaka wao, hawapokei mtu kutoka kwenye database. Hivyo huwa wanataka watu wao washiriki mchakato wa kupata watumishi wanaowataka wao. Ukiona umepangiwa taasisi nzuri kutoka database ujue walikuwa na uharaka.
Ndio maana wengi kwenye database wanapelekwa LGAs a.k.a halmashauri
Hii ipo sahihi, na kwa sasa ukikosa LGA na kupata taasisi unashukuru
Nimeitwa usail trh 24 mwezi huu naenda kuwAkanda wakandaji😀😀 uliharakisha mwaisa walikua bado kuweka ila tayari kwa sasa
Best wishes. Kawakande kisawasawa. Huu ndio mwaka wa ku-force mpambanaji mwenzanguNimeitwa usail trh 24 mwezi huu naenda kuwAkanda wakandaji
Mkuu una maanisha usaili huo ko wanakuwa na watu tayari ila wanataka tu kukamilisha taratibu za kiserikaliKuna taasisi wanataka kushiriki kupata candidate wanayemtaka wao, hawapokei mtu kutoka kwenye database. Hivyo huwa wanataka watu wao washiriki mchakato wa kupata watumishi wanaowataka wao. Ukiona umepangiwa taasisi nzuri kutoka database ujue walikuwa na uharaka.
Ndio maana wengi kwenye database wanapelekwa LGAs a.k.a halmashauri
Mkuu japo umenikatishaa tamaa na comment yako apo juu nimeunganisha matukio sana any way ngoja lkn nikatest mitambo interview yangu ya kwanzaBest wishes. Kawakande kisawasawa. Huu ndio mwaka wa ku-force mpambanaji mwenzangu
Hongera kila lakheri,inshallah hizi za nactvet tutakuwa woteNimeitwa usail trh 24 mwezi huu naenda kuwAkanda wakandaji
Pouwa mkuuHongera kila lakheri,inshallah hizi za nactvet tutakuwa wote
Hapana bhana hicho kitu hakipo na ondoa shaka jiandae vyema utatoboaMkuu una maanisha usaili huo ko wanakuwa na watu tayari ila wanataka tu kukamilisha taratibu za kiserikali
Mzee ukiwa mpambanaji lazima hasa ukizoea hizi saili za utumishi kuna muda unajikuta una mzuka na taasisi.
Mimi kama ningekuwa na chimbo la kueleweka nadhani nisingeomba ajira za Tamisemi.
Haiwezekani mshahara wa Tamisemi mara mbili ya aliye MUHIMBILI.
Kwani mimi sitaki hela.
Sasa laki 3 ni ndogo? Huo ni mshahra wa mtuIngawa sio kweli hapo kwenye bold, MNH wanazidi kiasi hasa kwenye allowances ila kwa mshahara, gap ni around 300k only
Sema nafasi tu zinatangazwa aisee. Kijana mtafuta ajira, kama inawezekana, hakikisha umefanya interviews zote zinazokuhusu maana huwezi jua nini kinakuja mbele.
Hiv hawa NHIF, PSSSF, WCF, MSD, REA, TCRA, PURA, TPDC, NEMC, OSHA, NHC, TBS, TFS, TFNC, TANROADS, DCEA, NSSF, BRELA, EPZA, TTCL, GCLA na wenzao wa aina hii wao hawana uhitaji na watumishi? Au wakuu mlioenda Halmshauri ndio mnahamia huko kwa kasi na kumaliza ikama zote??
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]EWURA, LATRA, PBPA nao hawastaafu wala kufa