Tokea teuzi zifanyike...naona kasi imepungua sanaSidhani kiukweli utumishi wamepunguza kasi ya kuita watu kazini sijaelewa kwanini imekuwa hivyo
Mkuu cheti cha kuzaliwa ni rahisi kufanyiwa edit, nenda RITA na leaving certificate, kitambulisho chako cha NIDA na pesa kama 13,000 kaanze mchakato ndani ya siku 14 unapata cheti kingineHabari za mida hii
Ukiwa unatumia majina yafuatayo kwenye vyeti
Cheti cha form 4
Juma Said Juma
Cheti cha form 6
Juma Said Juma
Cheti cha chuo
Juma Said Juma
Nida
Juma Said Juma
Lakini cheti cha kuzaliwa
Juma Saidi Juma
Je kwenye usahili kwenye ukaguzi wa vyet naweza kuzuiwa kuingia kwenye usahili
Shida inaweza kuwa nn kuna speed ya mwezi wa saba ile kada yangu ilikomba 70 ila kwa miezi hii miwili inepungua kabisaTokea teuzi zifanyike...naona kasi imepungua sana
Shida ni afya na walimu wa tamisemi...hawa wameharibu mambo....wanatakiwa waende kazini kabla ya uchaguzi wa madiwani ili watu wapate kura na kulaShida inaweza kuwa nn kuna speed ya mwezi wa saba ile kada yangu ilikomba 70 ila kwa miezi hii miwili inepungua kabisa
Hili ni minus kwao kama ni kweli wapo harsh, wanatakiwa waelewe wao ni watoa huduma na msahiliwa ni customer wake, bila msahiliwa basi yeye hapati posho wala mshahara.Katika Oral zote ya mwaka huu imetia fola.
Jamaa hawana muda wa kupeti peti kama tulivyozoea.
Ukijibu Point 3 unasema ufikirie wahsaenda swali linalofuata.
Wakali.,wako harsh.
Mengine tuwachie wao
Matokeo ni kwa mkoa husika tu....wale walioenda bush uko watapenya mapema tuKwa usaili wa oral uliofanyika na watu wa afya kimikoa .Je, matokeo ya usaili yatashindanishwa kimikoa au kwa watu wote wa kada husika ?
Sio harsh, sasa oral wapo watu 100, unaanza kusubiri mtu ajifikirie wakati swali basic....lakini watapita tuHili ni minus kwao kama ni kweli wapo harsh, wanatakiwa waelewe wao ni watoa huduma na msahiliwa ni customer wake, bila msahiliwa basi yeye hapati posho wala mshahara.
Ni kujisahau tuu.
Acha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.Sio harsh, sasa oral wapo watu 100, unaanza kusubiri mtu ajifikirie wakati swali basic....lakini watapita tu
Mkuu wakiwa hivyo ndio fresh maana yake hakuna kufeli hiyo...Acha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.
Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.
Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.
Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.
Muda DK 15.
Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.
Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?
Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.
Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
Pole sana, yote ni katika kutafuta maisha ipo siku utafanikiwa nduguAcha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.
Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.
Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.
Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.
Muda DK 15.
Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.
Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?
Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.
Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
ShukraniMkuu cheti cha kuzaliwa ni rahisi kufanyiwa edit, nenda RITA na leaving certificate, kitambulisho chako cha NIDA na pesa kama 13,000 kaanze mchakato ndani ya siku 14 unapata cheti kingine
Status ikoje baada ya oral hasa ya kwenye appAcha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.
Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.
Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.
Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.
Muda DK 15.
Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.
Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?
Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.
Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
Iv ulifany oral linwazee wa database tuassume wote tumekandwa tu
Hiyo imempita aanze kusaka cheti NECTA...aombe cheti kinginekuna ndugu yangu ameitwa kwenye usahili wa tutorial assistant lakini amepoteza cheti cha form 6. anaejua taratibu za kupata chet mbadala maana utumishi hawana huruma kwenye hilo
toka wa sita mwaka jana.nahisi hii nyundo tayari..Iv ulifany oral lin
Mimi nime download app ila nikitaka ku login inasema under maintanance hii shida ni kwa wote?Status ikoje baada ya oral hasa ya kwenye app
nadhan ni wote, watakuwa na maboresho nadhan...ili ianze kusoma ile sehem ya placement...ukipata kazi unakula notification na unaikuta kwenye placement paleMimi nime download app ila nikitaka ku login inasema under maintanance hii shida ni kwa wote?