Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari za mida hii
Ukiwa unatumia majina yafuatayo kwenye vyeti
Cheti cha form 4
Juma Said Juma
Cheti cha form 6
Juma Said Juma
Cheti cha chuo
Juma Said Juma
Nida
Juma Said Juma
Lakini cheti cha kuzaliwa
Juma Saidi Juma

Je kwenye usahili kwenye ukaguzi wa vyet naweza kuzuiwa kuingia kwenye usahili
Mkuu cheti cha kuzaliwa ni rahisi kufanyiwa edit, nenda RITA na leaving certificate, kitambulisho chako cha NIDA na pesa kama 13,000 kaanze mchakato ndani ya siku 14 unapata cheti kingine
 
Kwa usaili wa oral uliofanyika na watu wa afya kimikoa .Je, matokeo ya usaili yatashindanishwa kimikoa au kwa watu wote wa kada husika ?
 
Katika Oral zote ya mwaka huu imetia fola.

Jamaa hawana muda wa kupeti peti kama tulivyozoea.

Ukijibu Point 3 unasema ufikirie wahsaenda swali linalofuata.

Wakali.,wako harsh.

Mengine tuwachie wao
Hili ni minus kwao kama ni kweli wapo harsh, wanatakiwa waelewe wao ni watoa huduma na msahiliwa ni customer wake, bila msahiliwa basi yeye hapati posho wala mshahara.

Ni kujisahau tuu.
 
Hili ni minus kwao kama ni kweli wapo harsh, wanatakiwa waelewe wao ni watoa huduma na msahiliwa ni customer wake, bila msahiliwa basi yeye hapati posho wala mshahara.

Ni kujisahau tuu.
Sio harsh, sasa oral wapo watu 100, unaanza kusubiri mtu ajifikirie wakati swali basic....lakini watapita tu
 
Sio harsh, sasa oral wapo watu 100, unaanza kusubiri mtu ajifikirie wakati swali basic....lakini watapita tu
Acha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.

Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.

Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.

Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.

Muda DK 15.

Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.

Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?

Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.

Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
 
Acha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.

Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.

Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.

Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.

Muda DK 15.

Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.

Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?

Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.

Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
Mkuu wakiwa hivyo ndio fresh maana yake hakuna kufeli hiyo...
Ila wakianza kukupa muda wa kufikiri we jua kisu kikali..
BTW, mwanangu unapenda kulalamika😀
 
Acha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.

Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.

Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.

Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.

Muda DK 15.

Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.

Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?

Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.

Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
Pole sana, yote ni katika kutafuta maisha ipo siku utafanikiwa ndugu
 
kuna ndugu yangu ameitwa kwenye usahili wa tutorial assistant lakini amepoteza cheti cha form 6. anaejua taratibu za kupata chet mbadala maana utumishi hawana huruma kwenye hilo
 
Acha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.

Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.

Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.

Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.

Muda DK 15.

Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.

Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?

Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.

Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
Status ikoje baada ya oral hasa ya kwenye app
 
kuna ndugu yangu ameitwa kwenye usahili wa tutorial assistant lakini amepoteza cheti cha form 6. anaejua taratibu za kupata chet mbadala maana utumishi hawana huruma kwenye hilo
Hiyo imempita aanze kusaka cheti NECTA...aombe cheti kingine
 
Back
Top Bottom