Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mungu awasaidie. Kweli watafuta ajira serikalini wanasumbuliwa vikali na bila sababu ya maana. Mliopata ajira serikalini kuweni na huruma na kumbukeni mlikotoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…