El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
mmhh kwa style hii??Tulieni wakuu database ipo na inafanya kazi
Tusubiri tu mkuu....mambo yatanyookammhh kwa style hii??
Tumeshakandwa mapema sana.Tulieni wakuu database ipo na inafanya kazi
We si umefanya oral ya afya juzi tu....Tumeshakandwa mapema sana.
Nina Database pia ...ya mwaka jana hadi leo wanachukua watuWe si umefanya oral ya afya juzi tu....
Oral ya juz naona ndio ina priority kubwaNina Database pia ...ya mwaka jana hadi leo wanachukua watu
Kivip.Oral ya juz naona ndio ina priority kubwa
Najua Ilo.Oral ya juz naona ndio ina priority kubwa
Wanatakiwa kuingia job fasta...kwahyo hyo nadhan ndio yakutumainiaKivip.
Sawa na mm Niko hukoWanatakiwa kuingia job fasta...kwahyo hyo nadhan ndio yakutumainia
Leteni ushuhuda mapolisi wapyaUtumishi wakitembea kwa upepo huu kama wezao......
Vijana tunarudisha matumain juu ya Taifa letu...
Mungu awasimamie PSRS
Utumishi ni TAESA iliyochangamkaUtumishi wakitembea kwa upepo huu kama wezao......
Vijana tunarudisha matumain juu ya Taifa letu...
Mungu awasimamie PSRS
Si walisema ndani ya week mbili ,afya majina yatatoka. Lakin wapi🤣Wanatakiwa kuingia job fasta...kwahyo hyo nadhan ndio yakutumainia
Kuwa na subira. Wenzako tupo hapa tunasikilizia mwaka unaisha, wewe wiki mbili tu unataka kulamba asali. Kuwa mvumilivuSi walisema ndani ya week mbili ,afya majina yatatoka. Lakin wapi🤣
Neno kubwa mkuu tuwe wapole tu, na wasiwe wanasema kwenye pannel kwamba ndani ya week 1 au 2 itakuwa tayari, pitia mara kwa mara account😅Kuwa na subira. Wenzako tupo hapa tunasikilizia mwaka unaisha, wewe wiki mbili tu unataka kulamba asali. Kuwa mvumilivu
Tangu lini utumishi wanaita watu kazini baada ya 2 weeks .Neno kubwa mkuu tuwe wapole tu, na wasiwe wanasema kwenye pannel kwamba ndani ya week 1 au 2 itakuwa tayari, pitia mara kwa mara account[emoji28]
Basi ile sehemu tuliyofanyia sie walituchotaTangu lini utumishi wanaita watu kazini baada ya 2 weeks .
😂 Karibu psrsBasi ile sehemu tuliyofanyia sie walituchota
😂🤣😂😂Endeleeni kutuchota na kutuaminisha uongo😂 Karibu psrs