Matokeo ya Afya na ualimu ni mtaji wa kisiasa. Yatatoka kabla au baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.Yan PDF ina majina 36 tu, usahili walifanya tarehe 13 mwez wa 8 limetoka Leo 25 mwez wa 9, je hao afya waliopo ef 9 na kitu SI itakua NOVEMBER
Hao watu wategemee kuingia kazini DisembaMatokeo ya Afya na ualimu ni mtaji wa kisiasa. Yatatoka kabla au baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Upepo ..Hao watu wategemee kuingia kazini Disemba
Kuna Pdf nyengine uko, wadau mtuletee mrejesho apa😊Upepo ..
Kuna dalili ya mikeka mikubwa kabla uchaguzi wa serikali ya mitaa...
Vp yaliyomo yamo ninapeychee
si ningekua dom sa hiviVp yaliyomo yamo nin
hapo naona ni pdf 1 wanalivunjavunja kufungia mwezMwendo wa pdf tu
Wanadamu HAMNA JEMAhapo naona ni pdf 1 wanalivunjavunja kufungia mwez
😂😂😂Daaah umewaza mbali aiseehapo naona ni pdf 1 wanalivunjavunja kufungia mwez
Bado mingine usiku wa kuamkia keshoTuache masihahara kulikwa na umuhimu gani wa kutoa mikeka ile miwili leo.
ndo jiulize sasa hilo ni pdf 1 muda si mrefu watamalizia na vipande vingine vilivyobaki🤣🤣Tuache masihahara kulikwa na umuhimu gani wa kutoa mikeka ile miwili leo.
Hahaaa 😁😁😁😳watoe kitu kizito watu tukwee mwendokasi. siku hiyo nitalipia kwenye kichwa kule dereva akizubaa tu naongeza spidi..
😀😀😀kama kawaida yao....hapo naona ni pdf 1 wanalivunjavunja kufungia mwez
Mpe Hongera.....Akawe Mtumishi mwemaWakuu pdf ya leo ya pili kuna jamaa angu kalamba asali kupitia database kwenda TAWA wakuu