Mnajimu nyota
Senior Member
- Oct 29, 2018
- 144
- 415
Hongera sana kakaWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hongera sana kakaWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
π€£π€£π€£π€£Dah mwanangu we acha tu,sema nini!! Kitakapolia huko huko ndo tunazamaaaHapo ni LGA kabisa...Mpimbweππππππππππ
Eeeh sure mzee...popote kambi, mfungwa achagui gerezaπ€£π€£π€£π€£Dah mwanangu we acha tu,sema nini!! Kitakapolia huko huko ndo tunazamaaa
hata kakonko?π€£π€£π€£π€£Dah mwanangu we acha tu,sema nini!! Kitakapolia huko huko ndo tunazamaaa
Haa mm nipate check number kwanza.muhimbili nao wanaweza wakazoa muda wowote.ila halmashauri wakianza kuzoa hapo ni uhakika
Hongera Sana mkuu, kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Nikiwa mkubwa natamani kuwa kama wewe mkuuAsanteni kwa wote mlionipa hongera, ni ngumu kuwaquote wote ila nawaombea kwa Mungu nanyi mpate.
Kwa stage tuliyofika tupate check numbers kwanzahata kakonko?
Kila mtu atapata kwa wakati wake, wakati wa Mungu ndio wakati sahihi πͺ
Ndo atakua amenipangia mwenyezi Mungu, na siwezi kataa ng'oπππhata kakonko?
Ukichukua barua, urudi utoe comment kuhusu status...ulkuwa unaziulizia sanaAsanteni kwa wote mlionipa hongera, ni ngumu kuwaquote wote ila nawaombea kwa Mungu nanyi mpate.
Hongera sana mkuu. Ukawe mtumishi mwema kwa manufaa ya umma. One LoveWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hahaha π€£ π€£ usijali mkuuUkichukua barua, urudi utoe comment kuhusu status...ulkuwa unaziulizia sana
Maana app naona imeenda ChinaHahaha π€£ π€£ usijali mkuu
Wait soon mambo yatakuwa BAM BAM ila uwe na selected for oralMaana app naona imeenda China