Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Isifutwe ila iwaachie Taasisi ziajiri zenyeweTaasisi ifutwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isifutwe ila iwaachie Taasisi ziajiri zenyeweTaasisi ifutwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara mia waziachie taasisi mbona bunge wameenda vizuri sana chap chap au ndio kazi kuu ya serikali ni urasimuIsifutwe ila iwaachie Taasisi
Changamoto ya Utumishi ni mafungu ya pesa yanatoka kwa kuchelewa katika kusimamia sail......Mara mia waziachie taasisi mbona bunge wameenda vizuri sana chap chap au ndio kazi kuu ya serikali ni urasimu
matakwa ya sheria zinawabana TaasisiMara mia waziachie taasisi mbona bunge wameenda vizuri sana chap chap au ndio kazi kuu ya serikali ni urasimu
Huwez kufanya abortion, hapo n kusubiri tuuKwa anayejua kama kuna ukomo wa kusubiri kuitwa kwenye usaili alete majibu. Maana hata mimba ukomo wake ni miezi tisa. Nina received ina miezi mitano, vipi nisubiri mingine minne ama nifanya abortion
Ni kamzozo
Kada Gani?haya mungu kasikia kilio chenu kuna pdf uko
Sasa taasisi inapelekaje uhitaji na kuachia psrs ifanye mchakati wote hadi mwisho alafu iseme hainauhitaji wa haraka au hawana budget ya mtumishi mpya huo ni utahila na ujinga tu, why isisubili uhitaji na uharaka ukifika na budge itengwe kwanza ndo ipekele requarement(tangazo) utumishiKuna sehemu kwenye huu uzi kuna jamaa alielezeaga vizuri sana huu mchakato wa ajira unapoanza kwa tahasis usika kufika psrs nao kuutangaza kuita watu usahili matokeo kutoka na kupewa barua na mpka kuanza kazi, kwa namna alivyoelezeaga niligundua kuna vitu tunaweza tukawalaumu psrs lakini tatizo likawa sio lao, mfano kila tahasisi uwa kuna mda mda wana uharaka sana alafu kuna mda uharaka unakua sio sana na ata hvyo katika kuitwa kazini je bugdet usika ya kumuhandle muajiliwa mpya tayari ipo? Ivyo vyote vinachangia sana.
Uyo jamaa alichanganua vizuri sana sana na binafsi nilimuelewa mnoo
Wanashindwa kuwa wawazi tu kusema...Sasa taasisi inapelekaje uhitaji na kuachia psrs ifanye mchakati wote hadi mwisho alafu iseme hainauhitaji wa haraka au hawana budget ya mtumishi mpya huo ni utahira na ujinga tu, why isisubili uhitaji na uharakq ukifika na budge ndo ipekele requarement(tangazo) utumishi
Na hii ndio point kubwa, kama taasisi haina haraka kwanini wasisubiri hadi watakapo kuwa na haraka?? hii inaleta wasiwasi kazi zinatolewa watu wanaomba hadi wanasahau halafu mwisho wa siku wanachomekwa watu wao. Hapo hamna TransparentSasa taasisi inapelekaje uhitaji na kuachia psrs ifanye mchakati wote hadi mwisho alafu iseme hainauhitaji wa haraka au hawana budget ya mtumishi mpya huo ni utahila na ujinga tu, why isisubili uhitaji na uharaka ukifika na budge itengwe kwanza ndo ipekele requarement(tangazo) utumishi
KwaKuna sehemu kwenye huu uzi kuna jamaa alielezeaga vizuri sana huu mchakato wa ajira unapoanza kwa tahasis usika kufika psrs nao kuutangaza kuita watu usahili matokeo kutoka na kupewa barua na mpka kuanza kazi, kwa namna alivyoelezeaga niligundua kuna vitu tunaweza tukawalaumu psrs lakini tatizo likawa sio lao, mfano kila tahasisi uwa kuna mda mda wana uharaka sana alafu kuna mda uharaka unakua sio sana na ata hvyo katika kuitwa kazini je bugdet usika ya kumuhandle muajiliwa mpya tayari ipo? Ivyo vyote vinachangia sana.
Uyo jamaa alichanganua vizuri sana sana na binafsi nilimuelewa mnoo.
Haya mambo yamekaa kisiasa sanaWanashindwa kuwa wawazi tu kusema...
Ofisi ya Rais(Serikali Kuu)budget hairuhusu kuajiri full stop ....
Kuliko wanatupiana mipira tu....
Sasa kumbe kibali ninaweza kikatoka na mchakato ukaendelea ila bado suala la bajeti likakwamishaWanashindwa kuwa wawazi tu kusema...
Ofisi ya Rais(Serikali Kuu)budget hairuhusu kuajiri full stop ....
Kuliko wanatupiana mipira tu....
Kwa
Haya mambo yamekaa kisiasa sana
Swali la Uzi unalikumbuka.Ni kweli, ila kwa namna ninavyowaona utumishi wanajitahid sana sana na katika ilo niwape tu ongera zao ila kuna namna makosa yanatokea kwengine lawama zinawaangukia wao. Kama ule usime unaosema ng'ombe anaechelewesha msafara ni wa mbele ila viboko anachapwa ng'ombe wa nyuma, hilo jambo ndo naliona psrs.
Mpka kufikia hatua hii ya kutengeneza mfumo wa watu kuweza kufanya usahili online inaonyesha kwa namna gan kwa upande wao wanajitahdi.
Sasa taasisi inapelekaje uhitaji na kuachia psrs ifanye mchakati wote hadi mwisho alafu iseme hainauhitaji wa haraka au hawana budget ya mtumishi mpya huo ni utahila na ujinga tu, why isisubili uhitaji na uharaka ukifika na budge itengwe kwanza ndo ipekele requarement(tangazo) utumishi