Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote ,usumbufu na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu.
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujipatia kupata riziki kitaa huku kwa wakati huu kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Halafu mi nishaona kuna umagumashi wa aina fulani kwenye hii taasisi , , haiwezekani yote watu interview halafu huwaiti kazini , huu ni upuuzi
Kuna mchezo mchafu utakuwa unafanywa ni vile tu hatuja chimba deep kugundua hili suala
Ni kitu ambacho hakimake sense kabisa
 
Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujishindia kupata riziki kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Wanakuja kwenye uzi kujifanya msaada.
 
Moja ya jambo naloshukuru Maisha yangu nimepambana sana na ujobless.

Kwa sasa nimeajiriwa tena serikalini japo sio ya kustaafu kama wengine.

Ila nafanya saili nikiwa nimerelax tofauti na mwanzo hivyo Mengine nimemwachia Mungu tu.

Sio wapuuzi wa kunitisha.

Mwifwa kaka Una mbingu yako achana na hawa wapuuzi wanaojifanya wanaamsaada kisa wametukwana kwanini hawajatusaidia tukiwa cool
 
Wanakuja kwenye uzi kujifanya msaada.
Unajua hii nchi yetu Bongo humu hamna kinachoshindikana , tunaweza kukaa hapa na kujiaminisha kwamba utumishi wanafanya mambo kwa weledi kumbe nyuma ya pazia kuna mambo ya kipuuzi yanaendelea .
Kama zile scandals za kuvuja kwa papers za interviews kipindi kile .
Hili suala la kucheleweshwa au kutotoka kabisa kwa Placements ,kuna raise maswali mengi ambayo kimsingi ukifikiria kwa umakini unaona kuna kitu hakipo sawa ,tofauti na hizo propaganda mfu wanazoimba kila siku kama sababu.
 
Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote ,usumbufu na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu.
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujipatia kupata riziki kitaa huku kwa wakati huu kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Halafu mi nishaona kuna umagumashi wa aina fulani kwenye hii taasisi , , haiwezekani yote watu interview halafu huwaiti kazini , huu ni upuuzi
Kuna mchezo mchafu utakuwa unafanywa ni vile tu hatuja chimba deep kugundua hili suala
Ni kitu ambacho hakimake sense kabisa
ma CCM yanatutesa jamani. Afu menyewe yanaona sawa tu.
 
Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote ,usumbufu na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu.
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujipatia kupata riziki kitaa huku kwa wakati huu kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Halafu mi nishaona kuna umagumashi wa aina fulani kwenye hii taasisi , , haiwezekani yote watu interview halafu huwaiti kazini , huu ni upuuzi
Kuna mchezo mchafu utakuwa unafanywa ni vile tu hatuja chimba deep kugundua hili suala
Ni kitu ambacho hakimake sense kabisa
Nakusalimu dalali mwenzangu, sasa hivi nimetanua wigo, sio nyumba na viwanja, sasa hivi nadalalia hadi vyombo vya moto.
 
Unakosea sana, haikua na haja ya kutumia lugha hii.

Pinacoladee alipata lift kupitia jukwaa hili, nakukumbusha, kazi zote ziko mikononi mwa watu, ukikutana nao hao, hata kama huna account huko utumishi, unalamba asali mapema tu.
Mwambie huyo dogo tatizo hawa vijana wanafikiri wanachat na watoto wenzao humu
Laiti wangejua humu kuna watu wakubwa kuna viongoz wao wangekuwa na nidhamu sana haya maisha bila kufahamiana na watu hutoboi hata kama ukipata ajira kuna mambo yako hayataenda kama huna nidhamu na kuheshimu watu

Mtu hamjuani unamtukana kumbe ni Boss wako
 
Ni kawaida ya watu wenye maumivu ya ndani kufurahia shida za wengine lkn kiuhalisia unakuta ni mtu asiye na mbele Wala nyuma ni vile tu jf hatujuani
Soma comments zangu humu jukwaani utaona vile nahustle, sina maisha ya maigizo kuna kipind kulikuwa na uzi wa sadakalawe za vocha na nilikuwa active kwenye ule Uzi bila kujificha sasa iweje useme Ety JF hatujuani?
Kuna muda ukweli lazima usemwe ht kama hutuupendi
 
Back
Top Bottom