Ngoja ni screenshot comment yakosi walisema kua pdf la afya wanatoa mwezi wa 10. wakitoa wa 10 mniite mbwa koko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ni screenshot comment yakosi walisema kua pdf la afya wanatoa mwezi wa 10. wakitoa wa 10 mniite mbwa koko
Hata nikiwa mimi, siwezi toa siri ya kambi. Lililotokea ulishuhudia humu.Sasa kwa taarifa yako niliongea na phina ni mshikaji wangu alinichana wala yule jamaa hakumsaidia na hakuchart nae kwa lolote.
Kama wewe unataka msaada mfuate tu PM .
Sawa mfuate akupe kaziHata nikiwa mimi, siwezi toa siri ya kambi. Lililotokea ulishuhudia humu.
Uzi huu umekua na generation nyingi toka 2022, katika generation ya sasa, huyu ni mmoja wa icon katika uzi huu, kwa wachangiaji na wasomaji wanaopitia uzi huu, ni rahisi kum-note.Mkuu Umejuaje kama alifanya interview uko?😂watu mpo uku mnachora tu watu wakilalamika.
Hiyo ilikua ni wewe na yeye, waka haikua na haja ya kutumia lugha ilikosa ustaarabu.Sawa mfuate akupe kazi
Sihitaji msaada wake kaka.Hiyo ilikua ni wewe na yeye, waka haikua na haja ya kutumia lugha ilikosa ustaarabu.
Wanakuja kwenye uzi kujifanya msaada.Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujishindia kupata riziki kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Unajua hii nchi yetu Bongo humu hamna kinachoshindikana , tunaweza kukaa hapa na kujiaminisha kwamba utumishi wanafanya mambo kwa weledi kumbe nyuma ya pazia kuna mambo ya kipuuzi yanaendelea .Wanakuja kwenye uzi kujifanya msaada.
ma CCM yanatutesa jamani. Afu menyewe yanaona sawa tu.Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote ,usumbufu na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu.
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujipatia kupata riziki kitaa huku kwa wakati huu kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Halafu mi nishaona kuna umagumashi wa aina fulani kwenye hii taasisi , , haiwezekani yote watu interview halafu huwaiti kazini , huu ni upuuzi
Kuna mchezo mchafu utakuwa unafanywa ni vile tu hatuja chimba deep kugundua hili suala
Ni kitu ambacho hakimake sense kabisa
Nakusalimu dalali mwenzangu, sasa hivi nimetanua wigo, sio nyumba na viwanja, sasa hivi nadalalia hadi vyombo vya moto.Jobless wenzangu tutafute pesa tu ,hizi dharau zote ,usumbufu na sisi kujikomba kwa hawa waseng£ wanaojiita utumishi ni ufukara tu.
Tujaribu kuwa tunafanya issues nyingine za kujipatia kupata riziki kitaa huku kwa wakati huu kama mimi nilivoamua kuwa dalali
La sivyo sonona itatuua na hawa waseng£ hawana huruma na jobless WA nchi hii
Halafu mi nishaona kuna umagumashi wa aina fulani kwenye hii taasisi , , haiwezekani yote watu interview halafu huwaiti kazini , huu ni upuuzi
Kuna mchezo mchafu utakuwa unafanywa ni vile tu hatuja chimba deep kugundua hili suala
Ni kitu ambacho hakimake sense kabisa
oya Mbaga Jr uanasemwa uku 😂 😂Ni kawaida ya watu wenye maumivu ya ndani kufurahia shida za wengine lkn kiuhalisia unakuta ni mtu asiye na mbele Wala nyuma ni vile tu jf hatujuani
Tena mwambie anaonekana ana tatizo kubwaoya Mbaga Jr uanasemwa uku 😂 😂
Ila nahisi atakuwa msabato Kwa hiyo rohooya Mbaga Jr uanasemwa uku 😂 😂
Ila nahisi atakuwa msabato Kwa hiyo roho
Mwambie huyo dogo tatizo hawa vijana wanafikiri wanachat na watoto wenzao humuUnakosea sana, haikua na haja ya kutumia lugha hii.
Pinacoladee alipata lift kupitia jukwaa hili, nakukumbusha, kazi zote ziko mikononi mwa watu, ukikutana nao hao, hata kama huna account huko utumishi, unalamba asali mapema tu.
Soma comments zangu humu jukwaani utaona vile nahustle, sina maisha ya maigizo kuna kipind kulikuwa na uzi wa sadakalawe za vocha na nilikuwa active kwenye ule Uzi bila kujificha sasa iweje useme Ety JF hatujuani?Ni kawaida ya watu wenye maumivu ya ndani kufurahia shida za wengine lkn kiuhalisia unakuta ni mtu asiye na mbele Wala nyuma ni vile tu jf hatujuani