Nmesoma post zake ndiyo nikajuaMkuu Umejuaje kama alifanya interview uko?😂watu mpo uku mnachora tu watu wakilalamika.
Kwa taarifa yenu humu kuna maboss wenu na viongoz wenu tena wakubwa tuu nashangaa mnavo toa matusi humuMkuu Umejuaje kama alifanya interview uko?😂watu mpo uku mnachora tu watu wakilalamika.
bila shaka wewe ni moja ya maBOSSSKwa taarifa yenu humu kuna maboss wenu na viongoz wenu tena wakubwa tuu nashangaa mnavo toa matusi humu
Tatizo kubwa nililonalo n ujobless tuu.Tena mwambie anaonekana ana tatizo kubwa
Mm n mlutheran, nasali kanisa la Lutheran hapa Manzese - DarIla nahisi atakuwa msabato Kwa hiyo roho
Mkuu mm naomba kazi, nna diploma in TV and film productionKwa taarifa yenu humu kuna maboss wenu na viongoz wenu tena wakubwa tuu nashangaa mnavo toa matusi humu
Safi , hivyo hivyo ilimradi kuna kitu kinaingia .Nakusalimu dalali mwenzangu, sasa hivi nimetanua wigo, sio nyumba na viwanja, sasa hivi nadalalia hadi vyombo vya moto.
Mule mule😀😀 kwa iyo wasabato wanaroho kama ya mbaga jr
Na ikawe kheri kakaMkuu mm naomba kazi, nna diploma in TV and film production
SawaNmesoma post zake ndiyo nikajua
Acha kujishusha kwa huyo mbwa.Mkuu mm naomba kazi, nna diploma in TV and film production
Kwa Taarifa ya nani mwalimu kasome ufanye usaili.Kwa taarifa yenu humu kuna maboss wenu na viongoz wenu tena wakubwa tuu nashangaa mnavo toa matusi humu
Wewe fala usitake mtu akuheshimu.Mwambie huyo dogo tatizo hawa vijana wanafikiri wanachat na watoto wenzao humu
Laiti wangejua humu kuna watu wakubwa kuna viongoz wao wangekuwa na nidhamu sana haya maisha bila kufahamiana na watu hutoboi hata kama ukipata ajira kuna mambo yako hayataenda kama huna nidhamu na kuheshimu watu
Mtu hamjuani unamtukana kumbe ni Boss wako
Sikuheshimu sasaKijana heshima ni kitu kizuri sana ukiheshimu watu nao watakuheshimu
Asante T pain kwa kuwa upande mmoja na mimi japo sisi tulikuwa maaduiwe nae kaoshe mkundu ukalale utumishi utakua wewe pumbu nini
Wewe umemaliza,kutishana tuila kuna watu wa ovyo humu hata kama ukiwa utumishi (psrs) ndo ujitangaze na kutisha watu, kwani jamani kinacho mpa mtu ajira ni nn juhudi zake binafsi( interview) au mkono wa mtu?, kimantiki harari najua ni juhudi za mtu, pia hata kama ni connection huwa haziji kivi kama ninavyo ona msg za watu humu, jikubali na jiamini ipo siku kila mtu atamuona kwa mkono wa Mungu
Acheni kuwaogopa hao viazi wanaojifanya wanatoa misaada.Ma jobless mmeanza kutukana ndio maana hata hizi ajira zimechelewa
Asante kaka HAKI ZOTE ZIMWIFADHIWAila kuna watu wa ovyo humu hata kama ukiwa utumishi (psrs) ndo ujitangaze na kutisha watu, kwani jamani kinacho mpa mtu ajira ni nn juhudi zake binafsi( interview) au mkono wa mtu?, kimantiki harari najua ni juhudi za mtu, pia hata kama ni connection huwa haziji kivi kama ninavyo ona msg za watu humu, jikubali na jiamini ipo siku kila mtu atamuona kwa mkono wa Mungu