Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Swala la muda ,aya waliokuwa wanapiga kelele kuhusu Tanapa walete ushuhuda apa
 
noted
 
Utumishi bana wameamua kutuzuga na mikeka ya Tanapa mwezi huu.

Watoe majina mengine sasa.

Hongera kwa mliopata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…