Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Kupanga ni kuchagua.Ila usijifunge sana just lower your pride ili usonge mbele Vema kujiuliza huo mgomo ulio nao una faida gani? Focus kwenye malengo yako usijilinganishe na watu wengine.

Hiyo sio pride. Hiyo inaitwa confidence. Mtu anajiamini na uwezo wake na kitu anacholeta mezani. Unfortunately watu wa hivi tunawaonaga wanaringa lakini kuna watu wana potential ya zaidi ya serikali inachooffer. Wote tunajua serikali haina strategy nzuri ya kuvuna talents na workforce.​
 
Hivi hizo written za kufanyia online wanaweka na maswali ya kujieleza au ni multiple choice peke yake? Na je ni taasisi zote zinatumia huo mfumo wa kufanya interview kidigitali?
 
Hivi hizo written za kufanyia online wanaweka na maswali ya kujieleza au ni multiple choice peke yake? Na je ni taasisi zote zinatumia huo mfumo wa kufanya interview kidigitali?
Ndio maswali yanakuwa multiple choice, sio kila taasisi wanatumia huu mfumo inategemeana kwa mfano kwa upande wa saili za malecture huu mfumo autumiki
 
Watu hawahitaji kupewa moyo, wanatakiwa kupewa nafasi za ajira.
Sasa kwa mawazo yako unahisi mtumishi wa kawaida anaweza kukupa ajira?

Usiwe desperate kiasi cha kuuzima ubongo wako,wapo watu wanafarijika kwa kupewa moyo wa kuendelea kupambania kombe.
 
Sasa kwa mawazo yako unahisi mtumishi wa kawaida anaweza kukupa ajira?

Usiwe desperate kiasi cha kuuzima ubongo wako,wapo watu wanafarijika kwa kupewa moyo wa kuendelea kupambania kombe.
Naomba tafsiri ya mtu anayeitwa mtumishi wa kawaida.
 
Wewe ni wa kukupuuza nitakupa airtime ya bure.

Kwahiyo hujui levels za servants kuwa kuna Juniors,Seniors and Executive.

Kwa akili yako unaweza kwenda kumuomba Junior akupe ajira? Grow up.
Una namba yangu mzee? Naona unataka kunizawadia airtime. Ila sina uhakika kama unauwezo wa ku afford.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…