El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
dahh jamaa wanakomesha🤣🤣Nimeliwa kichwa mapema sana, hada dk 15 uwanjani sijacheza nimetolewa kwa red card. Dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dahh jamaa wanakomesha🤣🤣Nimeliwa kichwa mapema sana, hada dk 15 uwanjani sijacheza nimetolewa kwa red card. Dah!
Mkuu wa idara na afisa utumishi hawa wanapatikana wapi mkuu? Mwajiri ni Halmashauri, Je wanapatika kwenye Halmashauri husika au?Inawezekana kama ukikutana na mkuu wa idara na afisa utumishi wazungu
Mwajiri ni Halmashauri, hivi topu manyota kwenye hizi Halmashauri anakuwa ni nani?Ebu anzia kwa mwajiri kuuliza hili jambo atakupatia majibu sahihi
Ninavyoelewa mimi ni ngumu kupewa ruhusa ukiwa mwajiri mpya ukamalize masomo then urudi kibaruani rasmi,but inawezekana kupewa ruhusa iwapo mkoa uliopata kazi na chuo unachosoma vipo sehemu moja unaweza kumuomba HR wako ukawa unaingia jioni mbali na hvyo inabidi u postpone chuo utaendelea baadaye.Pia kwa maelezo zaidi unaweza muuliza HR kwa maelezo zaidi.Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali
Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia
Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa
Tunasubir matokeo Engineerwazee wa TRC vp pepa jamani
Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali
Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia
Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa
utapita tu naskia ulikua kawaidaTunasubir matokeo Engineer
Eeh nenda karipoti halmashauri utawakuta Ndo mabosi hao kabla ya mkurugenziMkuu wa idara na afisa utumishi hawa wanapatikana wapi mkuu? Mwajiri ni Halmashauri, Je wanapatika kwenye Halmashauri husika au?
Asante sana nimekuelewa vizuri kabisaNinavyoelewa mimi ni ngumu kupewa ruhusa ukiwa mwajiri mpya ukamalize masomo then urudi kibaruani rasmi,but inawezekana kupewa ruhusa iwapo mkoa uliopata kazi na chuo unachosoma vipo sehemu moja unaweza kumuomba HR wako ukawa unaingia jioni mbali na hvyo inabidi u postpone chuo utaendelea baadaye.Pia kwa maelezo zaidi unaweza muuliza HR kwa maelezo zaidi.
Akuna ugumu shida roho mbaya watu wengi wanapenda watu wasote kama wao walivyosoma Kwa kuungaungaNinavyoelewa mimi ni ngumu kupewa ruhusa ukiwa mwajiri mpya ukamalize masomo then urudi kibaruani rasmi,but inawezekana kupewa ruhusa iwapo mkoa uliopata kazi na chuo unachosoma vipo sehemu moja unaweza kumuomba HR wako ukawa unaingia jioni mbali na hvyo inabidi u postpone chuo utaendelea baadaye.Pia kwa maelezo zaidi unaweza muuliza HR kwa maelezo zaidi.
Niko tayari bila ukakasi wowote ule mkuu, ila si unajua kuuliza sio ujinga huwezi jua kumbe ningetulia kisingetokea chochote, ila kwa kuuliza labda lolote linaweza kutokea si umeona wadau baadhi wameonyesha kuna uwezekanoMkuu una utani, yani ndo kwanza wamekuajiri, wanakusubiri kwa hamu, kazi zinakusubiri za kutosha na wakupe ruhusa umalize kusoma full time?
Sawa sawa nashukuru sana mkuuEeh nenda karipoti halmashauri utawakuta Ndo mabosi hao kabla ya mkurugenzi
😂😂ulianza kuchungulia mafile yasio kuhusu ukatoka kwenye mfumoNimeliwa kichwa mapema sana, hada dk 15 uwanjani sijacheza nimetolewa kwa red card. Dah!
Daah uyu jamaa inabid aje atuambie nn kimemsibu maana dakika 15 tayari alikuwa njee ya mchezo😂😂ulianza kuchungulia mafile yasio kuhusu ukatoka kwenye mfumo
Ilikuwaje tenaNimeliwa kichwa mapema sana, hada dk 15 uwanjani sijacheza nimetolewa kwa red card. Dah!
hapa wamekosea ilitakiwa iwe TCRA au
Kwakwel hapa ni TCRA na sio TRC
Upo kada gani mkuu, kama ni afya kwa huo mwaka mmoja uliobakisha kuhitimu hawawezi kukukatalia, ukifika ongea na Mkuu wa Idara atakuelekeza cha kufanya.Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali
Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia
Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa