Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali

Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia

Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa
Ninavyoelewa mimi ni ngumu kupewa ruhusa ukiwa mwajiri mpya ukamalize masomo then urudi kibaruani rasmi,but inawezekana kupewa ruhusa iwapo mkoa uliopata kazi na chuo unachosoma vipo sehemu moja unaweza kumuomba HR wako ukawa unaingia jioni mbali na hvyo inabidi u postpone chuo utaendelea baadaye.Pia kwa maelezo zaidi unaweza muuliza HR kwa maelezo zaidi.
 
Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali

Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia

Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa

Mkuu una utani, yani ndo kwanza wamekuajiri, wanakusubiri kwa hamu, kazi zinakusubiri za kutosha na wakupe ruhusa umalize kusoma full time?
 
Ninavyoelewa mimi ni ngumu kupewa ruhusa ukiwa mwajiri mpya ukamalize masomo then urudi kibaruani rasmi,but inawezekana kupewa ruhusa iwapo mkoa uliopata kazi na chuo unachosoma vipo sehemu moja unaweza kumuomba HR wako ukawa unaingia jioni mbali na hvyo inabidi u postpone chuo utaendelea baadaye.Pia kwa maelezo zaidi unaweza muuliza HR kwa maelezo zaidi.
Asante sana nimekuelewa vizuri kabisa
 
Ninavyoelewa mimi ni ngumu kupewa ruhusa ukiwa mwajiri mpya ukamalize masomo then urudi kibaruani rasmi,but inawezekana kupewa ruhusa iwapo mkoa uliopata kazi na chuo unachosoma vipo sehemu moja unaweza kumuomba HR wako ukawa unaingia jioni mbali na hvyo inabidi u postpone chuo utaendelea baadaye.Pia kwa maelezo zaidi unaweza muuliza HR kwa maelezo zaidi.
Akuna ugumu shida roho mbaya watu wengi wanapenda watu wasote kama wao walivyosoma Kwa kuungaunga
 
Mkuu una utani, yani ndo kwanza wamekuajiri, wanakusubiri kwa hamu, kazi zinakusubiri za kutosha na wakupe ruhusa umalize kusoma full time?
Niko tayari bila ukakasi wowote ule mkuu, ila si unajua kuuliza sio ujinga huwezi jua kumbe ningetulia kisingetokea chochote, ila kwa kuuliza labda lolote linaweza kutokea si umeona wadau baadhi wameonyesha kuna uwezekano
 
Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali

Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia

Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa
Upo kada gani mkuu, kama ni afya kwa huo mwaka mmoja uliobakisha kuhitimu hawawezi kukukatalia, ukifika ongea na Mkuu wa Idara atakuelekeza cha kufanya.

Usiwe na uoga, watu wengi wameweza kuruhusiwa kurudi shule hata wale waliokua wanaanza kabisa.
 
Back
Top Bottom