DEDMwajiri ni Halmashauri, hivi topu manyota kwenye hizi Halmashauri anakuwa ni nani?
Never give up jipange tenakumbe kukandwa ndio inauma hivi
Daah sawa kakaNever give up jipange tena
kumbe kukandwa ndio inauma hivi
Ndio ni afya, Asante sana mkuu nitafanyia maelekezo maelezo hayaUpo kada gani mkuu, kama ni afya kwa huo mwaka mmoja uliobakisha kuhitimu hawawezi kukukatalia, ukifika ongea na Mkuu wa Idara atakuelekeza cha kufanya.
Usiwe na uoga, watu wengi wameweza kuruhusiwa kurudi shule hata wale waliokua wanaanza kabisa.
Sawa mkuu nimekuelewa
Usijali, usiache kuomba na kufanya tena ukiitwakumbe kukandwa ndio inauma hivi
Habarini za asubuhi, tupeni mrejesho mliofanya written, wale wa TBC, TCRA, DATA ANALYST, Benjamini hospital etc.
Je maswali yalikua ya kuchagua (aptitude test) au kuna kada baadhi mlifanya written ya kuandika mfano explain, define, mention etc
kumbe kukandwa ndio inauma hivi
Yeah 👍 that's is spirit kaza mkuuNasikia maumivu mpka ndani ya mifupa, marks 1 imenitoa mchezoni. ila hii aijaisha mpka iishe, mapambano bado yanaendelea.
DuuhSija fanikiwa ata kuliona lango nka pigwa red card, na copy ya hati ya kiapo ilio pigwa na mhuri wa ku certify kwamba ni true copy still wame nikazia
Baada ya written inayofuata ni oral au practical kutegemea NA NATURE ya kazi yenyewe!! Siyo wote wanaofanya written wanafanya practical!!.Wakuu naomba kuuliza. Ukifanya written interview, je kama kuna practical wana shortlist majina au wote waliofanya written wanafanya practical?
Mwajiri anatafuta mtu kwa sasa!! Huwezi kuomba nafasi ya kumaliza masomo kwa sasa!! Cha kufanya:Wakubwa namshukuru Mungu nami nimebahatika kulamba asali naamini Mungu ni mwema kwetu sote na kila mmoja kwa wakati wake naye atailamba asali
Sambamba na hilo nahitaji sana msaada wenu wakubwa kwani katika hizi harakati za kuendelea kusikilizia asali mimi niliona nichukue muda huo kuendelea na masomo kwa ngazi ya shahada ila hilo halikunizuia kujaribu bahati yangu nilipoona nafasi zimetangazwa na kwa bahati Mungu akajalia
Sasa mwaka huu ndio nimeingia mwaka wa mwisho wa masomo kwa ngazi hiyo ya shahada, nimesikia sikia story nyingi nyingi kuhusu uwezekano wa kuomba nafasi ya kumaliza masomo kisha kuingia kibaruani rasmi, ila sijaweza kupata maelezo yaliyonyooka kuhusu hilo ndipo nikaona ni vema niwaulize wataalamu humu ili mnisaidie mwongozo juu ya hilo au ufafanuzi zaidi ili nipate kuelewa, Natanguliza shukrani wakubwa
Kanuni za utumishi haziruhusu:Ndio ni afya, Asante sana mkuu nitafanyia maelekezo maelezo haya
Mnaziona ni nyingi ila zikijumlishwa idadi ni Ile Ile 9800+, naongelea hizi za local governmentBado halmashauri kibao hazijatoa placement kwa kada za afya. Watu wengi wa kada ya afya waliofanikiwa kuingia oral watalamba asali, labda kama mtu ashindwe kabisa kupata hata marks 50 za oral!! Kwa kawaida wanapotafutwa watu wengi oral huwa haikazwi!!
Mkuu ni nin?? Hicho wamekupiga red cardSija fanikiwa ata kuliona lango nka pigwa red card, na copy ya hati ya kiapo ilio pigwa na mhuri wa ku certify kwamba ni true copy still wame nikazia