Majina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )Mkuu ni nin?? Hicho wamekupiga red card
Mara nyingi huwa hawataki copy ukifika pale ni original mwanzo mwisho.Majina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
Wakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiwe
Nina rafiki yangu anafanya kazi chombo fulani cha habari, aliniambia kuna watu wana kigugumizi na wanasoma taarifa ya habari vizuri tu na huwezi kujua kama wana hiyo changamoto, kafanye interview mkuu ukipita kuna training hadi uive, goodluck.Wakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
duh! pole sanaMajina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
Yeah 👍 that's is spirit kaza mkuu
Fact mzee hakuna kukata tamaa, penye nia pana njia your champion 🏆Huu moto ushawaka kuzimika mpka asali ilambwee. Nimeingia chimbo tena kwa ajili ya receive nyengine nilizo nazo.. Mpka mwakani mwezi wa 2 na mimi niwe kwanye buyu la asali.
Shukrani nimekuelewa mkuuKanuni za utumishi haziruhusu:
1 Mtu kuomba kwenda kusoma kabla ya: 1. Kthibitishwa kazini 2. kumtumikia mwajiri kwa angalau miaka miwili. Kinyume cha hapo ni harufu ya rushwa!! HR anaweza kukuruhusu kwa udanganyifu wa aidha likizo ya ugonjwa na ukawa na vyeti vya ugonjwa vya kununua!!
Njia sahihi iliyonyooka ni kuahirisha masomo!!! Hiyo inakubalika.
Nipe mrejesho wa mambo kaka.. hiyo paper ya online imefanyikaje na maswali yake yakojeNi TRC hao,tunaenda kuwakanda utumishi tareh 3 kesho kutwaa🙂
Piga NIDA chini, tafuta barua ya mwenyekiti wa mtaa uwe unaenda nayoMajina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
Mimi pia nilitumiaga hii mbinu sikuwahii kusumbuliwa interview zote tano mpaka napata ajira ndiyo nikaja kutafuta deepoll baada ya kupata kaziPiga NIDA chini, tafuta barua ya mwenyekiti wa mtaa uwe unaenda nayo
Kozi mnaenda liniDatabase inafanya kazi, kuna jamaa nilifanya nao usaili TANAPA hawakuitwa kazini, lakini juzi wamepangiwa sehemu nyingine wakiwa wameshakata tamaa🤗Tuzidi kupambana wazee na tusiache kuhudhuria usaili
Tanapa imesomba sanaa watu .....Database inafanya kazi, kuna jamaa nilifanya nao usaili TANAPA hawakuitwa kazini, lakini juzi wamepangiwa sehemu nyingine wakiwa wameshakata tamaa🤗Tuzidi kupambana wazee na tusiache kuhudhuria usaili
Tunasubili kupigiwa simu mkuuKozi mnaenda lini
Bado hujaanza kaz tuTunasubili kupigiwa simu mkuu
juzi mbona hamna pdf wamepangiwa vipi walipigiwa simu auDatabase inafanya kazi, kuna jamaa nilifanya nao usaili TANAPA hawakuitwa kazini, lakini juzi wamepangiwa sehemu nyingine wakiwa wameshakata tamaa🤗Tuzidi kupambana wazee na tusiache kuhudhuria usaili