Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Majina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
Mara nyingi huwa hawataki copy ukifika pale ni original mwanzo mwisho.
 
Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiwe

Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Nina rafiki yangu anafanya kazi chombo fulani cha habari, aliniambia kuna watu wana kigugumizi na wanasoma taarifa ya habari vizuri tu na huwezi kujua kama wana hiyo changamoto, kafanye interview mkuu ukipita kuna training hadi uive, goodluck.
 
Majina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
duh! pole sana
 
Kanuni za utumishi haziruhusu:
1 Mtu kuomba kwenda kusoma kabla ya: 1. Kthibitishwa kazini 2. kumtumikia mwajiri kwa angalau miaka miwili. Kinyume cha hapo ni harufu ya rushwa!! HR anaweza kukuruhusu kwa udanganyifu wa aidha likizo ya ugonjwa na ukawa na vyeti vya ugonjwa vya kununua!!
Njia sahihi iliyonyooka ni kuahirisha masomo!!! Hiyo inakubalika.
Shukrani nimekuelewa mkuu
 
Majina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
Piga NIDA chini, tafuta barua ya mwenyekiti wa mtaa uwe unaenda nayo
 
Database inafanya kazi, kuna jamaa nilifanya nao usaili TANAPA hawakuitwa kazini, lakini juzi wamepangiwa sehemu nyingine wakiwa wameshakata tamaa🤗Tuzidi kupambana wazee na tusiache kuhudhuria usaili
Tanapa imesomba sanaa watu .....
Toka mwaka jana walichukua watu toka 2022 na Inazihirisha kabisa toka Kauli yaMwenyekiti wa board Tanapa( Mabeyo)kauli aliyotoa kwa vijana inaonekana....Kigugumizi kipo kwenye Taasisi nyingine hizo(wana weka watoto wao kwa mgongo wa wanajitolea) kuona Tangazo la ajira baada ya miaka 2 hapo changamoto ipo database.
Mwisho
Utumishi waondoe kikomo cha Database ....
 
Database inafanya kazi, kuna jamaa nilifanya nao usaili TANAPA hawakuitwa kazini, lakini juzi wamepangiwa sehemu nyingine wakiwa wameshakata tamaa🤗Tuzidi kupambana wazee na tusiache kuhudhuria usaili
juzi mbona hamna pdf wamepangiwa vipi walipigiwa simu au
 
Back
Top Bottom