El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
π π chabo kwenye hayo mambo unaweza kulipua chumba cha mtihaniHuyu jamaa anaepiga chabo hapo sio Rahsully kweli? Na bado wakalambishwa mchanga π
View attachment 3152977
View attachment 3152978
View attachment 3152979
NdioKwahiyo hii na TGS hamna tofauti mkuu?
Ipo IFMHivi hii kozi ipo? sijawahi kuisikia hivi
Kuna jamaa humu alifanya maamuzi kama wewe baada ya kukandwa, watu walimpa moyo akaomba tena akalamba asaliNimeamua kwa akili yangu timamu kuachana na ajira za utumishi. Bora nikomae na private sectors.
Basi ni bahati nayo kupambania nafasiIpo IFM
Wakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au
Uhakiki utaendelea, hapo sio mwisho wake, kama GPA haijafika itakuletea shidaWakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
Kwa experience yangu vyuoni ni kuandika sio kwenye mfumoKwa waliofanya written interview ya Tutorial Assiatant hivi karibuni vipi mtihani unafanyika kwenye mfumo wa computer au tunaandika kama zamani?
Ilianzia katika chuo cha RUCO miaka mwanzoni mwa miaka ya 2010's, kuanzia 2018 IFM wakadakia,.Hivi hii kozi ipo? sijawahi kuisikia hivi
Hahaaaa mambo ya motor starter hayo bila shaka ,naona contactors ,push button hizo na circuit breakers na mazaga mengine kibao hapo , El marabiosh ,unazikumbuka direct on line , star delta starter ,auto transformer starter ,Rotor resistance starter ,Stator resistance starter nkHuyu jamaa anaepiga chabo hapo sio Rahsully kweli? Na bado wakalambishwa mchanga π
View attachment 3152977
View attachment 3152978
View attachment 3152979
Hii njemba inapiga jicho kali la chaboπ€£π€£π€£πππHuyu jamaa anaepiga chabo hapo sio Rahsully kweli? Na bado wakalambishwa mchanga π
View attachment 3152977
View attachment 3152978
View attachment 3152979
Jamaa amekaza knoma πHii njemba inapiga jicho kali la chaboπ€£π€£π€£πππ
Aiseee
Mambo mazito utumishi wa motoJamaa amekaza knoma π
Jamaa yamemfika kooni akaona ya nn afie hapo wakati kuna nafasi ya kupiga chabo πMambo mazito utumishi wa moto
ππππππaisee haya mambo yasikie kwa mwenzio tu yasikukutee,aloekodoa na aliekodolewa wote wamelipukaππnyiee ohHuyu jamaa anaepiga chabo hapo sio Rahsully kweli? Na bado wakalambishwa mchanga π
View attachment 3152977
View attachment 3152978
View attachment 3152979
ipo IFM mkuu na imetoa graduate wengi tu mpaka sasa,nimecheck content hakika hawa ni pure accounting auditorHivi hii kozi ipo? sijawahi kuisikia hivi
Basi ni unyama sana huo, itakuwa rahisi kutekeleza majukumu yaoipo IFM mkuu na imetoa graduate wengi tu mpaka sasa,nimecheck content hakika hawa ni pure accounting auditor
HongeraEeh Mungu Asante PDF la leo na mimi nimo
Najisikiaga raha sana kuona comment kama hizi.Eeh Mungu Asante PDF la leo na mimi nimo