Huo usaili mnafanya lini? Na ni tutorial assistance wa chua gani mkuu?Wakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
Yap maana kuna Institute 3.5 wanachukuaHuo usaili mnafanya lini? Na ni tutorial assistance wa chua gani mkuu?
Hilo jina kwenye database uliliona??? saini huo mkataba haraka ufanye kazi utimize baadhi ya ndoto zako, maisha hayasimami kanyaga kubwa kubwa, hakuna mkataba usio vunjwa especially hivi vimkataba vya kazi. Bravo πWakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
Mzee em sign mkataba huo kesho asubuhi kabla ya saa mbili.Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
sasa umejuaje kama upo databaseWakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
Mzee em sign mkataba huo kesho asubuhi kabla ya saa mbili.
Kwenye akili yako PDF ya kuitwa kazini ikitoka na ww haupo bc hesabu kuwa umefeli hvy songa na mambo mengine, mambo ya database muachie Mungu.
Nilifanya manuva na IT mmoja kule akanichekia mkuu.sasa umejuaje kama upo database
Huo mkataba wa Ajabu hamna mkataba wa hivyo.Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
Saini huko Private...Duniani hakuna mkataba usio na kipengele cha kuvunjwaNilifanya manuva na IT mmoja kule akanichekia mkuu.
Aisee, nkutumie jina langu unisaidie kuchek kwa huyo jamaa πNilifanya manuva na IT mmoja kule akanichekia mkuu.
MAsharti ya kuvunja mkataba ni magumu mnoSaini huko Private...Duniani hakuna mkataba usio na kipengele cha kuvunjwa
Hahahaha Ezekiel mbaga acha uoga tulia usije kutapeliwa.Aisee, nkutumie jina langu unisaidie kuchek kwa huyo jamaa π
π AiseeHahahaha Ezekiel mbaga acha uoga tulia usije kutapeliwa.
Mhh mfanyakazi wa kawaida hana access ya kuingia kwenye data base wamekudanganya afu data base ya watu hadi ya mwezi wa nane wametoaNilifanya manuva na IT mmoja kule akanichekia mkuu.
Fact mkuu huu uongo ni kiwango cha rami.Hahahaha Ezekiel mbaga acha uoga tulia usije kutapeliwa.
Hongereni mliodumbukia kwenye Asali og!! Hapo kama hauna mambo mengi ni ndani ya mwaka una viwanja viwili maeneo ya town na ndinga yako ya kupigia miseleTunaitwa subaru boys, mwakani tunafestival yetuππ
Wewe nenda tuu kitaeleweka huko hukoWakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?