Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ukitaka ufukuzwe kazi ata bila kulipa hata mia we sain mkataba piga kaz hapo private kisha jina likitoka anza kuwa mtoro , au nenda kazin umelewa chakari, au nenda kazin na mpenz wako mfanye mapenz kazin mbele ya bosi, au ukishaona jina limetoka utumish mtongoze mke wa bosi live mbele yake......au ukiona jina lako limetoka kimya kimya mwandikie barua ya kumfukuza bosi kazi na wafanyakazi wengne wote gonga na muhuri feki na dai kujimilikisha kampuni..............au nenda kazini uchi..........watakufukuza mapema sanaa
 
Kaongee na Afisa utumishi wako, huwa yanazungumzika hayo.
 
Mkuu wa idara na afisa utumishi hawa wanapatikana wapi mkuu? Mwajiri ni Halmashauri, Je wanapatika kwenye Halmashauri husika au?
Fika kituo chako cha kazi, wasome wafanyakazi wa hapo wapoje mtafute mmoja ambaye anaweza kukupa hints maisha ya hapo yanaenda vipi then , ujipange namna ya kuwasilisha hoja yako kwa wakuu wako. Hayo ni maswala binafsi na yanazungumzika.
 
Majina ya Nida na vyeti yame tofautiana ivyo huwa natumia affidavit of names (kiapo cha kuthibitisha majina )
so leo nilkua na copy ya iyo hati na imekua certified. pia huwa natumia kwa interview zote ila leo wame goma..
Tafuta Deep Poll
 
Bila shaka inafundishiwa IAA hii!
 
Wakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
Ingelikuwa Private Sector ningekuambia jitoe ufahamu maana wao huangalia Uwezo wako kichwani kuliko vyeti ulivyoshika. Lakini kwa vile ni huku kwa Baba wa Nyumba pumzika home. Watakupiga Redcard hutasahau.
 
Mkataba wa kazi kuvunja ni kumlipa mwajiri mwezi mmoja au kufanya kazi nila malipo kwa mwezi mmoja baada ya kutoa notice ya kuacha kazi....hakuna mkataba usiovunjwa
 
mmh!Jaman
 
Dah ! Ila kuna watu vichwa vimepinda aisee
Kwamba aende uchi kazini au sio ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…