Computer Science, IT inaweza kuwa ideal kwako kwasababu unamasomo ya physics na math kwenye huo ualimu wako.Connection ipo ya kutosha mzee, halmashauri niliopo hakuna engineer Wala IT, na serikali haiajiri, sasa afsa utumishi mwenyewe alinambia nikasome hiyo, lakini halmashauri ni starting point, ukifika unapambania kuhama kwenye taasisi au mashirika.
😂😂umejuajeitakua kigoma/kagera/tabora/kilimanjaro
Inategemea sehemu na sehemuHivi Maafisa Biashara nao ni njaa kumbe😎
Au inategemea sehemu na sehemu?
AmenAiseeeee .... Kuna jobless wanalalamika kukosa kazi ila Kuna mtu ana kazi lakini hajaridhika na alipo!
Mungu atusaidie sote kwa kadiri ya haja za mioyo yetu!
Nasema
Samaleko
Kabisa pambana ya hela yote usiangukie halmashauri ikishindikana bas at least ziwe halmashauri kubwa za town au manispaaMadam unanishauri nikaze sana nisiende halmashauri nikale green pasture GPSA NIMR TRA TCRA TIC BOT TSN WIZARAN NA LKN SIO HALMASHAURI NAPAJUA VZURI NILIKUA AFISA MTENDAJ KATA X MKOA X KWA MKATABA WALE JAMAA WANAJUA MAJUNGU NA UNAFKI TU
Upo busokelo nini😂😂😂🤣 ee Mungu baba🙌🙌Kabisa pambana ya hela yote usiangukie halmashauri ikishindikana bas at least ziwe halmashauri kubwa za town au manispaa
Mkuu taasisi nyingi zipo vizur sana mkuu pambana ufaulu wa oral uanzie 80 unaenda huko kwenye maatasisi mazito mazito kama muhimbili mkuu ila ukizubaa una mpwayungu dispensaryMkuu na NIMR wapo vizuri? Na ni kwa kada zote?
Hivi masuka wanalipwa shingapi ? ,ili tubadilishe fani tu japo nilisikia interview zao ngumu balaa.Hivi madereva waliwapa nini utumishi...mmeona pdf la leo
wale wa wizara hamna hamna wanakunja 540k bado marupurupu kutoka kwa maboss waoHivi masuka wanalipwa shingapi ? ,ili tubadilishe fani tu japo nilisikia interview zao ngumu balaa.
Kumbe wanamaisha na bado safari hapo.sema masuka wengi naona wanaenda kwenye mataasisi nao balaa.utumishi watatuua kwakweli.wale wa wizara hamna hamna wanakunja 540k bado marupurupu kutoka kwa maboss wao
Tuendelee kuwa wapoleKumbe wanamaisha na bado safari hapo.sema masuka wengi naona wanaenda kwenye mataasisi nao balaa.utumishi watatuua kwakweli.
Hiyo ni database ya mwaka jana kuanzia mwezi wa Tisa mpaka wa 10 hapo madereva walipiga Sana interviewHivi madereva waliwapa nini utumishi...mmeona pdf la leo
ok ngoja tuone huenda na sisi tutafikiwaHiyo ni database ya mwaka jana kuanzia mwezi wa Tisa mpaka wa 10 hapo madereva walipiga Sana interview
Ulipiga mwezi wa ngapi mkuu??ok ngoja tuone huenda na sisi tutafikiwa
tarehe 30/12/2024 mkuuUlipiga mwezi wa ngapi mkuu??
Basi tutafikiwa taratibu mkuu japo placements zenyewe tunazisubiri kwa siku 7 ila mwezi wa 2 hapa tunaramba asali mkuutarehe 30/12/2024 mkuu
Ikawe hivo mkuu ntafurahi sanaBasi tutafikiwa taratibu mkuu japo placements zenyewe tunazisubiri kwa siku 7 ila mwezi wa 2 hapa tunaramba asali mkuu
Amina Mkuu tuendelee kuwa wavumilivuIkawe hivo mkuu ntafurahi sana
Kwani siku hizi si ni Idara inajitegemea completely?Inategemea sehemu na sehemu