Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkeka wa LGA na MDA umetoka na niliapply kwenye mkeka simo na kwenye account yangu ya ajira portal bado imeandika '' received', kwani siku hizi hawatoi sababu ya kuto-shortlist mtu?? Niliomba afisa hesabu II
 
Mkeka wa LGA na MDA umetoka na niliapply kwenye mkeka simo na kwenye account yangu ya ajira portal bado imeandika '' received', kwani siku hizi hawatoi sababu ya kuto-shortlist mtu?? Niliomba afisa hesabu II
MDa and LGA wamekuwa wakitoa majina kwa baadhi ya kada na kuwafanyisha usahili, kwenye mkeka huu afisa hesabu wenye CPA nadhan ndo walioitwa kwanza, endelea kuwa na subira kama umeitwa au lah lazima utaona mabadiliko kwenye akaunti yako
 
Wakuu nina swali moja hivi kuna anayejua vigezo wanavyotumia utumishi kumpa placement mtu aliyeingia oral.

Je aliyewahi kuingia database ndio ataanza kupata placements au laa?

Mfano mwezi september nilifanya interview za MDA & LGA sikupenya oral nikalambwa NOT SELECTED zile za kada ya afya.

Baadae nikaja kufanya interview ya taasisi moja ya chuo mwezi december kwa kada yangu ambapo walitaka mtu mmoja tu oral tukaingia 12 hivi.

Mkeka wa placement ukatoka mwezi february akachukuliwa huyo mmoja nikabaki na Selected For Oral kwa akaunti yangu.

SASA IKO HIVI KILA SIKU KWENYE HIZI PDF ZA PLACEMENTS ZA WALIMU NAONA NA WATU WA KADA YANGU WAKICHUKULIWA

Ila ni wale waliofanya interview mwezi september sasa najiuliza na mimi nawez bebwa au kwa kuwa mimi interview ya oral haikuwa ya MDA & LGA ndio maana siwezi pata placement
Utapata nafasi, upo tu kwenye foleni kama ulivyoona waliofanya Oral September wameanza kuchukuliwa.

Kuwa na subira, Muumba yupo nawe..
 
Utata Mtupu Utumishi...
Interview kuita nako shida inaenda Mwaka
Kutoa Database watu mtaani nako Shida
Mbona mnatupa wakati mgumu vijana wenu
Bado tu hamjaridhika kuingiza watoto wenu...
 
Back
Top Bottom