Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

hivi wazee ukiwa unaaply tin number online kwaajili ya ajira ukifika hapa unajaza vipi
 

Attachments

  • Screenshot (24).png
    Screenshot (24).png
    14.3 KB · Views: 1
kada ya afya wanatangaza kazi daily hawanaga database au ndo walishaisha wote
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
Duu kwani wameita ndugu??
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
Ni kweli. Kwa upande wa Tax Management Officer II, wale waliosoma Bachelor of Banking and Finance, waliapply, wakawa shortlist, wakazuiwa mlangoni,. Ni kama utumishi tu, kama kozi haijatajwa, ukaomba na kiwa short listed, katika kuhakiki vyeti wanakuzuia.
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
Kama sio BBA accounts au Finance hawatoruhusiwa kufanya interview.
 
Ni kweli. Kwa upande wa Tax Management Officer II, wale waliosoma Bachelor of Banking and Finance, waliapply, wakawa shortlist, wakazuiwa mlangoni,. Ni kama utumishi tu, kama kozi haijatajwa, ukaomba na kiwa short listed, katika kuhakiki vyeti wanakuzuia.
kwaiyo kuna watu walipewa thank you🤣 🤣
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
Hiyo ni kawaida saana.. Kuna jamaa alichomolewa kwenye oral masikini ya mungu
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
Ndio kweli
 
aisee ningekua mimi sitoki kwanini waniache mpaka nifike oral 🤣 🤣
Eti hyo haiwezekani, yan wame shortlist, nimepiga written then naiona asali inakaribia ndio wanichomoe dah sitoki😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom