El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini una-apply TIN namba ya biashara kijana? Apply isiyo ya biasharahivi wazee ukiwa unaaply tin number online kwaajili ya ajira ukifika hapa unajaza vipi
unaapply vipi mie imenileta hapo directKwa nini una-apply TIN namba ya biashara kijana? Apply isiyo ya biashara
Duu kwani wameita ndugu??Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)
Ni kweli???
kada ya afya wanatangaza kazi daily hawanaga database au ndo walishaisha wote
wametangaza kachekZipi zimetangazwa tena
Nimeona tayariwametangaza kachek
Hawa PSRS wanachozingatia wao ni per diem tu....wametangaza kachek
Ni kweli. Kwa upande wa Tax Management Officer II, wale waliosoma Bachelor of Banking and Finance, waliapply, wakawa shortlist, wakazuiwa mlangoni,. Ni kama utumishi tu, kama kozi haijatajwa, ukaomba na kiwa short listed, katika kuhakiki vyeti wanakuzuia.Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)
Ni kweli???
Kama sio BBA accounts au Finance hawatoruhusiwa kufanya interview.Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)
Ni kweli???
yaani ni upuuzi mtupu aisee wanasumbua watu tuHawa PSRS wanachozingatia wao ni per diem tu....
Wataendesha usaili mwisho wa siku robo 3 nzima ya watu watatoka database
kwaiyo kuna watu walipewa thank you🤣 🤣Ni kweli. Kwa upande wa Tax Management Officer II, wale waliosoma Bachelor of Banking and Finance, waliapply, wakawa shortlist, wakazuiwa mlangoni,. Ni kama utumishi tu, kama kozi haijatajwa, ukaomba na kiwa short listed, katika kuhakiki vyeti wanakuzuia.
Hiyo ni kawaida saana.. Kuna jamaa alichomolewa kwenye oral masikini ya munguNaomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)
Ni kweli???
aisee ningekua mimi sitoki kwanini waniache mpaka nifike oral 🤣 🤣Hiyo ni kawaida saana.. Kuna jamaa alichomolewa kwenye oral masikini ya mungu
Ndio kweliNaomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)
Ni kweli???
Eti hyo haiwezekani, yan wame shortlist, nimepiga written then naiona asali inakaribia ndio wanichomoe dah sitoki😀😀😀😀😀aisee ningekua mimi sitoki kwanini waniache mpaka nifike oral 🤣 🤣