Utaratibu Kwasasa hivi interview nyingi zinafanyika online hivyo inatoafursa kufanyia mkoa ulioweka address yakoMkuu samahani kidogo,,Interview wote mnaenda kufanyia Dodoma au kila mtu kapangiwa mkoa aliombea ??
Ni heri hivyo vilio kuliko kuwa na stress na kitu ambacho hujui kitatokea liniMliokuwa mnalilia kuitwa interview shimo limetema mjiandae vilio visiwe vingi
MDa and LGA wamekuwa wakitoa majina kwa baadhi ya kada na kuwafanyisha usahili, kwenye mkeka huu afisa hesabu wenye CPA nadhan ndo walioitwa kwanza, endelea kuwa na subira kama umeitwa au lah lazima utaona mabadiliko kwenye akaunti yakoMkeka wa LGA na MDA umetoka na niliapply kwenye mkeka simo na kwenye account yangu ya ajira portal bado imeandika '' received', kwani siku hizi hawatoi sababu ya kuto-shortlist mtu?? Niliomba afisa hesabu II
Mkuu nipo kwenye chapter nyingine baada ya kutoka chapter hii.
Utapata nafasi, upo tu kwenye foleni kama ulivyoona waliofanya Oral September wameanza kuchukuliwa.Wakuu nina swali moja hivi kuna anayejua vigezo wanavyotumia utumishi kumpa placement mtu aliyeingia oral.
Je aliyewahi kuingia database ndio ataanza kupata placements au laa?
Mfano mwezi september nilifanya interview za MDA & LGA sikupenya oral nikalambwa NOT SELECTED zile za kada ya afya.
Baadae nikaja kufanya interview ya taasisi moja ya chuo mwezi december kwa kada yangu ambapo walitaka mtu mmoja tu oral tukaingia 12 hivi.
Mkeka wa placement ukatoka mwezi february akachukuliwa huyo mmoja nikabaki na Selected For Oral kwa akaunti yangu.
SASA IKO HIVI KILA SIKU KWENYE HIZI PDF ZA PLACEMENTS ZA WALIMU NAONA NA WATU WA KADA YANGU WAKICHUKULIWA
Ila ni wale waliofanya interview mwezi september sasa najiuliza na mimi nawez bebwa au kwa kuwa mimi interview ya oral haikuwa ya MDA & LGA ndio maana siwezi pata placement
Amina na ikawe hivoUtapata nafasi, upo tu kwenye foleni kama ulivyoona waliofanya Oral September wameanza kuchukuliwa.
Kuwa na subira, Muumba yupo nawe..
Embu liweke hapakuna pdf la walimu na wateknolojia uko
Sawa mkuu usiwaze nitakutonyaSiku MDA na LGA wakitoa za Ustawi wa Jamiii na Maendeo ya jamii
Nishtue maana Mimi nipo machimboni mkuu
Yaani umeomba kazi mwezi wa 8 mwaka jana unaitwa interview mwezi wa 3 mwaka huu. Wanajuaje kama haujafariki!Hizi Post walizotoa leo za eGA application tulifanya mwez wa 8..
😃😃Acha kufariki au upo sehemu ya kuaccess network?Yaani umeomba kazi mwezi wa 8 mwaka jana unaitwa interview mwezi wa 3 mwaka huu. Wanajuaje kama haujafariki!
Ilikuwaje mkuu mpk wakalamba asali?nafasi moja interview inachukua miezi nane watu wanasubirishwa lakini cha kushangaza nafasi za tpdc kipindi kile watu walilamba asali bila hata manundu..
ghafla tu hakuna interview iliyotangazwa.Ilikuwaje mkuu mpk wakalamba asali?